Kasheshe
JF-Expert Member
- Jun 29, 2007
- 4,694
- 787
Haya Dr. Slaa tunashukuru kwa kutaka kuingiza nchi yetu kwenye mfarakano usiokuwa na maana... kisa umesifiwa sana...
Hili jambo laweza kuondoa credit zote ulizopewa na wananchi nakutakia kila la kheri mkuu.
By the way, dalili za mvua ni mawingu:
---> Maboxi ya hewa ya kura kule Mbeya
---> Kulumbana na Jeshi letu tukufu kwenye vyombo vya habari.
--->
Hili jambo laweza kuondoa credit zote ulizopewa na wananchi nakutakia kila la kheri mkuu.
By the way, dalili za mvua ni mawingu:
---> Maboxi ya hewa ya kura kule Mbeya
---> Kulumbana na Jeshi letu tukufu kwenye vyombo vya habari.
--->