Ngoja niwasemee wanaume wengangu

Ngoja niwasemee wanaume wengangu

Mwanaume hutakiwi kulalama au kukimbia tatizo. Ungekuja na ushauri uliompa baada ya kuona tatizo tungekuelewa ila ukisema ulimtimua ujue kila tatizo utaishia kulikimbia.
 
Mwanaume hutakiwi kulalama au kukimbia tatizo. Ungekuja na ushauri uliompa baada ya kuona tatizo tungekuelewa ila ukisema ulimtimua ujue kila tatizo utaishia kulikimbia.

Nimekuelewa mkuu ila nlipata mateso sana
 
Una maneno makali mkuu,ukumbuke ndo wametubeba miezi tisa hawa.siku nyingine jitahidi kuchagua hao ma prostitute kwa kuwakagua papuchii zao ili usilete thread yenye shombo kama hii
 
Write your reply...wanaume mnaompinga mtoa Mada mnatafuta huruma ya kina Dada au kupendwa na kina dada.. [emoji23] [emoji23] eti nauliza?
Ni haki yake kusema lakini je haya aliyosema alimwambia muhusika?? Huu ni km ugonjwa yeye huyu ndiye angemsaidia huyo mdada lkn kuja kutukana huku si ustaarabu kabisa

Lugha aliyotumia kulalamika nayo ni chafu na inawezekana yeye ndiye ananuka maana kuna mahali kasema huyo wa jana anaenuka si wa kwanza
 
Ni haki yake kusema lakini je haya aliyosema alimwambia muhusika?? Huu ni km ugonjwa yeye huyu ndiye angemsaidia huyo mdada lkn kuja kutukana huku si ustaarabu kabisa

Lugha aliyotumia kulalamika nayo ni chafu na inawezekana yeye ndiye ananuka maana kuna mahali kasema huyo wa jana anaenuka si wa kwanza

Aisee...kapeace mimi nimesema sio wa kwanza au hujaelewa vizuri ??
 
Lugha uliyotumia ni mbaya mno ni kana kwamba wanawake wote tunanuka!!

I am sorry if the language used offended you, ila ile kitu iliniharibia sana siku, anyways wanawake wengine wananukia vizuri sana mpaka unataman umtafune mzima mzima
 
In this thread, ladies u better remain calm, otherwise u are one among the said smeller [emoji8]
 
Back
Top Bottom