karibuWenyeji, nawafahamisha kuwa mna mwana JF mgeni, naomba ushirikiano!
Wenyeji, nawafahamisha kuwa mna mwana JF mgeni, naomba ushirikiano!
Ndiyo nini "ngo ngo" ...haaha ha ha,,,Ahsante!![]()
Aah amakweli ishi ujione ?!! sasa hakuna bell hap au kengeleMlio wa kugonga mlangoni, kama mpiga hodi! Haha natumaini umenipata
Sasa mie nikija hapo kijijini nipige honi ya gari ? peeeeeeeee peee peeeee!!Hapo ni hodi ya kijijini kwetu!
Nami ntawapakia mmoja mmoja niwafurahishe hapo....Kijiji kizima watu watatoka!!
Wenyeji, nawafahamisha kuwa mna mwana JF mgeni, naomba ushirikiano!