Ishina Senior Member Dec 27, 2011 169 57 Feb 27, 2012 #1 Hodi hapa Wenyeji wangu..! Bila shaka nitakaribishwa sebuleni hadi chumbanioa
Katavi Platinum Member Aug 31, 2009 41,983 12,702 Feb 27, 2012 #4 Karibu, chumbani utaelekezwa baadae ukiwa mwenyeji!
Ishina Senior Member Dec 27, 2011 169 57 Feb 27, 2012 Thread starter #5 Ulimakafu said: Karibu sana JF mkuu. Click to expand... Nashukuru saaana, nimefika
dickson longo JF-Expert Member Aug 10, 2011 230 49 Feb 27, 2012 #6 Ishina said: Nashukuru saaana, nimefika Click to expand... Unatumia kinywaji gani?karibu sana Jf.
COURTESY JF-Expert Member Jun 16, 2011 2,006 706 Feb 27, 2012 #7 karibuuuuuu sana jisikie uko nyumbani
Jackbauer JF-Expert Member Oct 28, 2010 6,038 2,199 Feb 28, 2012 #8 Ishina said: Hodi hapa Wenyeji wangu..! Bila shaka nitakaribishwa sebuleni hadi chumbanioa Click to expand... mbona unasound kama mwenyeji?karibu mkuu
Ishina said: Hodi hapa Wenyeji wangu..! Bila shaka nitakaribishwa sebuleni hadi chumbanioa Click to expand... mbona unasound kama mwenyeji?karibu mkuu
MNYISANZU JF-Expert Member Oct 21, 2011 7,048 1,102 Feb 28, 2012 #9 Au umepigwa ban na sasa umeamua kuingia na ID mpya nini?
Erickb52 JF-Expert Member Oct 31, 2010 18,539 11,442 Feb 28, 2012 #11 Karibu ila chumbani kuna wenyewe...nenda kwa step...
bucho JF-Expert Member Jul 13, 2010 5,113 3,116 Feb 28, 2012 #12 Erickb52 said: Karibu ila chumbani kuna wenyewe...nenda kwa step... Click to expand... mkuu kweli wewe ni secretary wa jf nimeamini.
Erickb52 said: Karibu ila chumbani kuna wenyewe...nenda kwa step... Click to expand... mkuu kweli wewe ni secretary wa jf nimeamini.