B Bi-Mkubwa Member Joined Jan 28, 2011 Posts 7 Reaction score 1 Jan 28, 2011 #1 Hodi hodi naingia naomba mnifungulie nianze ukurasa mpya nanyi wana JF
VoiceOfReason JF-Expert Member Joined Nov 4, 2010 Posts 5,194 Reaction score 1,375 Jan 28, 2011 #2 Karibu Bi Mkubwa..... Karibu saaana ...
Katavi Platinum Member Joined Aug 31, 2009 Posts 42,099 Reaction score 12,926 Jan 29, 2011 #3 Karibu sana Bi Mkubwa.
Z Ze-Disenti New Member Joined Jan 27, 2011 Posts 2 Reaction score 0 Jan 30, 2011 #4 Bi-Mkubwa said: Hodi hodi naingia naomba mnifungulie nianze ukurasa mpya nanyi wana JF Click to expand... He! Hii kali jamani hadi Mabi-Wakubwa ndani ya nyumba? Anyway Karibu sana Bi-Mkubwa ktk jamii yetu ya Wafikiriaji Wakubwa. Ukichukuza sana utakuta hata jina lako lina-match na hii jamii. Karibu tushirikiane.
Bi-Mkubwa said: Hodi hodi naingia naomba mnifungulie nianze ukurasa mpya nanyi wana JF Click to expand... He! Hii kali jamani hadi Mabi-Wakubwa ndani ya nyumba? Anyway Karibu sana Bi-Mkubwa ktk jamii yetu ya Wafikiriaji Wakubwa. Ukichukuza sana utakuta hata jina lako lina-match na hii jamii. Karibu tushirikiane.
menyidyo JF-Expert Member Joined Oct 9, 2010 Posts 1,339 Reaction score 194 Jan 30, 2011 #5 naam mama mkwe karibu uphte mpaka ndani!
MAMMAMIA JF-Expert Member Joined Feb 26, 2008 Posts 3,811 Reaction score 1,607 Jan 30, 2011 #6 KARIBU SANA BI-MKUBWA, JISIKIE UKO NNYUMBANI. Tunahamu ya kuchota busara zako.
Mwenzetu JF-Expert Member Joined Dec 16, 2010 Posts 550 Reaction score 195 Jan 31, 2011 #7 Bi Mkubwa karibu,......ila kuna bi mdogo
The Finest JF-Expert Member Joined Jul 14, 2010 Posts 21,605 Reaction score 6,097 Feb 1, 2011 #8 Karibu Sana