Wakuu mbona JK alishatoa "suluhisho" la mgao wa umeme? Suluhisho lenyewe ni hili: 1. "Ngeleja hana kosa, kosa ni ukosefu wa mvua!"2. "Sina uwezo wa kujibadili kuwa wingu na kama ningekuwa na uwezo huo ningejikusanya na kwenda kunyesha pale Mtera ili bwawa lijae!"Wakuu hapa tatizo ni kubwa kuliko tunavyofikiria, maana majibu ya JK ni ya kukatisha tamaa mno!Akili kama izi nazifananisha na za Shakewell before use
Mzee unaitafuta BAN kwa nguvu!Huyu...View attachment 34090Hana tofauti na huyu...View attachment 34091Kimatendo.
Nimejaribu kufanya PERFOMANCE APPRAISAL YA NGELEJA na haya ndio matokeo yake:
Accomplishments: NONE
Goals for the next appraisal period: NONE
Problems faced: I DONT KNOW
Solutions tried : DAVID JAIRO IS WORKING ON IT (50MIL FROM ALL DEPTS)
Communication skills: UNKNOWN
Inter-personal skills: NIGHT CLUBS
Problem-solving Skills: ZERO
Team work; ZERO
Adaptability/Flexibility: ZERO
Initiative; ZERO
Decision Making: VERY POOR
Leadership Skills: ZERO
Maturity: PHYSICALLY ONLY
Sasa matokeo kama ndio haya mtu kama huyu amepewaje Wizara wakati kila kitu kiko wazi hapa juu kuwa haku add value yoyote katika nchi zaidi ya kula perdiem ambazo ni fedha za walipa kodi.
Tunaandaa matokeo ya IQ yake na yakiwa tayari tutayaleta humu.
Kuna uwezekano mkubwa Mh. Ngeleja akawa aidha hajui anachokifanya au anajidai yeye ana akili sana kuliko wa TZ wote. Kila mtanzania aliyekuwa anaangalia Bunge live jana saa 11:00 -11:15 wakati Waziri Mkuu anatoa comments za kusitisha kupitishwa bajeti ya Wizara ya Nishati na Madini alisikia SABABU KUU za kutopitishwa kwa bajeti ni Wizara kutoainisha mkakati wa haraka wa kumaliza tatizo linaloendelea la mgao wa umeme nchi nzima. Hii ndiyo sababu Waziri Mkuu akaliomba Bunge wiki 3 ili waandae huo mkakati wa kuondoa tatizo la umeme na wa ulete mbele ya bunge.
Cha kushangaza Ngeleja alipotoka nje ya ukumbi na kuhojiwa na waandishi alisema kinafiki" kwanza nawashukuru wabunge kwa kuliona hili kwamba eti bajeti imehairishwa kwa sababu wizara haikupangiwa hela za kutosha na hizi wiki tatu ni za kutafuta hizo hela then warudishe bajeti bungeni" . Hapa alitofautiana kwa kiasi kikubwa si tu na waziri mkuu bali na wabunge na kujaribu kueleza uongo wa papo hapo kuhusu sababu za bajeti yake kukataliwa.
Hii inadhihirisha bado Ngeleja hajalielewa tatizo la mgao wa umeme na hataki kulielewa na hii ni hatari kama atahusishwa kwenye hiyo task force ya Waziri Mkuu kwa sababu mawazo yake bado yana chembe chembe nyingi za ubabaishaji na atakwamisha hiyo task force. Pia kwa utetezi wake wa uongo jana pale nje ya ukumbi wa bunge inadhihirisha jinsi Ngeleja alivyo incompetent na kazi anayoifanya na pia jinsi ambavyo serikali inatakiwa impunguzie mzigo haraka iwezekanavyo kumpangia kazi anayoweza kuifanya kwa uaminifu, ufanisi na umakini zaidi.
Kwa ufupi uwaziri imemshinda Ngeleja na ni wazi inaonekana ni kikwazo kikubwa cha kutatua tatizo kubwa linaloikabili nchi kwa sasa.
View attachment 34088
Nimejaribu kufanya PERFOMANCE APPRAISAL YA NGELEJA na haya ndio matokeo yake:
Accomplishments: NONE
Goals for the next appraisal period: NONE
Problems faced: I DONT KNOW
Solutions tried : DAVID JAIRO IS WORKING ON IT (50MIL FROM ALL DEPTS)
Communication skills: UNKNOWN
Inter-personal skills: NIGHT CLUBS
Problem-solving Skills: ZERO
Team work; ZERO
Adaptability/Flexibility: ZERO
Initiative; ZERO
Decision Making: VERY POOR
Leadership Skills: ZERO
Maturity: PHYSICALLY ONLY
Sasa matokeo kama ndio haya mtu kama huyu amepewaje Wizara wakati kila kitu kiko wazi hapa juu kuwa haku add value yoyote katika nchi zaidi ya kula perdiem ambazo ni fedha za walipa kodi.
Tunaandaa matokeo ya IQ yake na yakiwa tayari tutayaleta humu.
Wakuu mbona JK alishatoa "suluhisho" la mgao wa umeme? Suluhisho lenyewe ni hili: 1. "Ngeleja hana kosa, kosa ni ukosefu wa mvua!"2. "Sina uwezo wa kujibadili kuwa wingu na kama ningekuwa na uwezo huo ningejikusanya na kwenda kunyesha pale Mtera ili bwawa lijae!"Wakuu hapa tatizo ni kubwa kuliko tunavyofikiria, maana majibu ya JK ni ya kukatisha tamaa mno!
Kama JK anaona bado anamhitaji katika baraza la mawaziri (kwa sababu wanazozijua wao), basi ampe Wizara ya Masuala ya Jinsia. Kwa ubabaishaji huu huko atakuweza!!!
Kuna uwezekano mkubwa Mh. Ngeleja akawa aidha hajui anachokifanya au anajidai yeye ana akili sana kuliko wa TZ wote. Kila mtanzania aliyekuwa anaangalia Bunge live jana saa 11:00 -11:15 wakati Waziri Mkuu anatoa comments za kusitisha kupitishwa bajeti ya Wizara ya Nishati na Madini alisikia SABABU KUU za kutopitishwa kwa bajeti ni Wizara kutoainisha mkakati wa haraka wa kumaliza tatizo linaloendelea la mgao wa umeme nchi nzima. Hii ndiyo sababu Waziri Mkuu akaliomba Bunge wiki 3 ili waandae huo mkakati wa kuondoa tatizo la umeme na wa ulete mbele ya bunge.
Cha kushangaza Ngeleja alipotoka nje ya ukumbi na kuhojiwa na waandishi alisema kinafiki" kwanza nawashukuru wabunge kwa kuliona hili kwamba eti bajeti imehairishwa kwa sababu wizara haikupangiwa hela za kutosha na hizi wiki tatu ni za kutafuta hizo hela then warudishe bajeti bungeni" . Hapa alitofautiana kwa kiasi kikubwa si tu na waziri mkuu bali na wabunge na kujaribu kueleza uongo wa papo hapo kuhusu sababu za bajeti yake kukataliwa.
Hii inadhihirisha bado Ngeleja hajalielewa tatizo la mgao wa umeme na hataki kulielewa na hii ni hatari kama atahusishwa kwenye hiyo task force ya Waziri Mkuu kwa sababu mawazo yake bado yana chembe chembe nyingi za ubabaishaji na atakwamisha hiyo task force. Pia kwa utetezi wake wa uongo jana pale nje ya ukumbi wa bunge inadhihirisha jinsi Ngeleja alivyo incompetent na kazi anayoifanya na pia jinsi ambavyo serikali inatakiwa impunguzie mzigo haraka iwezekanavyo kumpangia kazi anayoweza kuifanya kwa uaminifu, ufanisi na umakini zaidi.
Kwa ufupi uwaziri imemshinda Ngeleja na ni wazi inaonekana ni kikwazo kikubwa cha kutatua tatizo kubwa linaloikabili nchi kwa sasa.
View attachment 34088
Ngeleja kapatwa na laana ya yule mfanyakazi ALIYEMFUKUZISHA KAZI Standard Chartered Bank
Kuna uwezekano mkubwa Mh. Ngeleja akawa aidha hajui anachokifanya au anajidai yeye ana akili sana kuliko wa TZ wote. Kila mtanzania aliyekuwa anaangalia Bunge live jana saa 11:00 -11:15 wakati Waziri Mkuu anatoa comments za kusitisha kupitishwa bajeti ya Wizara ya Nishati na Madini alisikia SABABU KUU za kutopitishwa kwa bajeti ni Wizara kutoainisha mkakati wa haraka wa kumaliza tatizo linaloendelea la mgao wa umeme nchi nzima. Hii ndiyo sababu Waziri Mkuu akaliomba Bunge wiki 3 ili waandae huo mkakati wa kuondoa tatizo la umeme na wa ulete mbele ya bunge.
Cha kushangaza Ngeleja alipotoka nje ya ukumbi na kuhojiwa na waandishi alisema kinafiki" kwanza nawashukuru wabunge kwa kuliona hili kwamba eti bajeti imehairishwa kwa sababu wizara haikupangiwa hela za kutosha na hizi wiki tatu ni za kutafuta hizo hela then warudishe bajeti bungeni" . Hapa alitofautiana kwa kiasi kikubwa si tu na waziri mkuu bali na wabunge na kujaribu kueleza uongo wa papo hapo kuhusu sababu za bajeti yake kukataliwa.
Hii inadhihirisha bado Ngeleja hajalielewa tatizo la mgao wa umeme na hataki kulielewa na hii ni hatari kama atahusishwa kwenye hiyo task force ya Waziri Mkuu kwa sababu mawazo yake bado yana chembe chembe nyingi za ubabaishaji na atakwamisha hiyo task force. Pia kwa utetezi wake wa uongo jana pale nje ya ukumbi wa bunge inadhihirisha jinsi Ngeleja alivyo incompetent na kazi anayoifanya na pia jinsi ambavyo serikali inatakiwa impunguzie mzigo haraka iwezekanavyo kumpangia kazi anayoweza kuifanya kwa uaminifu, ufanisi na umakini zaidi.
Kwa ufupi uwaziri imemshinda Ngeleja na ni wazi inaonekana ni kikwazo kikubwa cha kutatua tatizo kubwa linaloikabili nchi kwa sasa.
View attachment 34088