Ngeleja na utetezi wa uongo nje ya Bunge

MVUMBUZI

JF-Expert Member
Jan 8, 2011
5,182
2,304
Kuna uwezekano mkubwa Mh. Ngeleja akawa aidha hajui anachokifanya au anajidai yeye ana akili sana kuliko wa TZ wote. Kila mtanzania aliyekuwa anaangalia Bunge live jana saa 11:00 -11:15 wakati Waziri Mkuu anatoa comments za kusitisha kupitishwa bajeti ya Wizara ya Nishati na Madini alisikia SABABU KUU za kutopitishwa kwa bajeti ni Wizara kutoainisha mkakati wa haraka wa kumaliza tatizo linaloendelea la mgao wa umeme nchi nzima. Hii ndiyo sababu Waziri Mkuu akaliomba Bunge wiki 3 ili waandae huo mkakati wa kuondoa tatizo la umeme na wa ulete mbele ya bunge.

Cha kushangaza Ngeleja alipotoka nje ya ukumbi na kuhojiwa na waandishi alisema kinafiki" kwanza nawashukuru wabunge kwa kuliona hili kwamba eti bajeti imehairishwa kwa sababu wizara haikupangiwa hela za kutosha na hizi wiki tatu ni za kutafuta hizo hela then warudishe bajeti bungeni" . Hapa alitofautiana kwa kiasi kikubwa si tu na waziri mkuu bali na wabunge na kujaribu kueleza uongo wa papo hapo kuhusu sababu za bajeti yake kukataliwa.
Hii inadhihirisha bado Ngeleja hajalielewa tatizo la mgao wa umeme na hataki kulielewa na hii ni hatari kama atahusishwa kwenye hiyo task force ya Waziri Mkuu kwa sababu mawazo yake bado yana chembe chembe nyingi za ubabaishaji na atakwamisha hiyo task force. Pia kwa utetezi wake wa uongo jana pale nje ya ukumbi wa bunge inadhihirisha jinsi Ngeleja alivyo incompetent na kazi anayoifanya na pia jinsi ambavyo serikali inatakiwa impunguzie mzigo haraka iwezekanavyo kumpangia kazi anayoweza kuifanya kwa uaminifu, ufanisi na umakini zaidi.
Kwa ufupi uwaziri imemshinda Ngeleja na ni wazi inaonekana ni kikwazo kikubwa cha kutatua tatizo kubwa linaloikabili nchi kwa sasa.

William Ngeleja.jpg
 
Nimechoka!!! hivi hawa vilaza nani alishauri wapewe madaraka, eti anashukuru kwa wabunge kuliona hilo yeye ni kipofu? au hiyo bajeti haikupita kwake kabla ya kwenda kusomwa bungeni na kuweza kuona mapungufu yaliyokuwepo?
Mungu nisaidie nisije nikaitafuta BAN mie!!!!! maana natamani kuyamwaga pwapwaaaa.
 
Nimechoka!!! hivi hawa vilaza nani alishauri wapewe madaraka, eti anashukuru kwa wabunge kuliona hilo yeye ni kipofu? au hiyo bajeti haikupita kwake kabla ya kwenda kusomwa bungeni na kuweza kuona mapungufu yaliyokuwepo?
Mungu nisaidie nisije nikaitafuta BAN mie!!!!! maana natamani kuyamwaga pwapwaaaa.

MAMENGAZI mimi hili limenipa ghadhabu kubwa sana nafikiri hili ni kosa lingine ame commit na Mh. Pinda anabidi amwite Ngeleja amwulize kama wako pamoja au yuko kinyume nao. Network ya Ngeleja kichwani inatia shaka na sijajua ana tu chora au amechanganyikiwa.
 
Lakini JK alisema tatizo sio Ngeleja, tatizo ni Mvua!! Haa..sijui kama Jk atamfukuza huyu bwana
 
Ngeleja..do you think this will go on till when ??? try another pose bottoms up may be... kwanza nawashukuru wabunge kwa kuliona hili kwamba eti bajeti imehairishwa kwa sababu wizara haikupangiwa hela za kutosha na hizi wiki tatu ni za kutafuta hizo hela then warudishe bajeti bungeni" .
 
quote'.......Ni wazi kuwa haja ya kuendeleza vyanzo vya nishati si jambo ambalo limeanza wiki iliyopita Bungeni. Lina miaka thelathini chini ya watu wale wale, chama kile kile chenye sera zile zile. Inashangaza watu wanashangaa kukutana na matokeo yale yale.....' unquote
MJJ

Nakubaliana na wewe
 
Huyo ndiye mbunge' bona fidei' wa tanzania.
Ndiye bora kuliko wengine na hana mbadala, hivyo kufikiri kwake ndiyo 'the best plans', 'the best strategy', 'the best copy nd paste', 'the best practice'.
Hana kosa mpaka hapo alipo hata kuweza kukiri au kujiuzuru kama sehemu ya kuleta suluhisho kwa matatizo na kero za umeme na madini hapa nchini.
 
Kuna uwezekano mkubwa Mh. Ngeleja akawa aidha hajui anachokifanya au anajidai yeye ana akili sana kuliko wa TZ wote. Kila mtanzania aliyekuwa anaangalia Bunge live jana saa 11:00 -11:15 wakati Waziri Mkuu anatoa comments za kusitisha kupitishwa bajeti ya Wizara ya Nishati na Madini alisikia SABABU KUU za kutopitishwa kwa bajeti ni Wizara kutoainisha mkakati wa haraka wa kumaliza tatizo linaloendelea la mgao wa umeme nchi nzima. Hii ndiyo sababu Waziri Mkuu akaliomba Bunge wiki 3 ili waandae huo mkakati wa kuondoa tatizo la umeme na wa ulete mbele ya bunge.

Cha kushangaza Ngeleja alipotoka nje ya ukumbi na kuhojiwa na waandishi alisema kinafiki" kwanza nawashukuru wabunge kwa kuliona hili kwamba eti bajeti imehairishwa kwa sababu wizara haikupangiwa hela za kutosha na hizi wiki tatu ni za kutafuta hizo hela then warudishe bajeti bungeni" . Hapa alitofautiana kwa kiasi kikubwa si tu na waziri mkuu bali na wabunge na kujaribu kueleza uongo wa papo hapo kuhusu sababu za bajeti yake kukataliwa.
Hii inadhihirisha bado Ngeleja hajalielewa tatizo la mgao wa umeme na hataki kulielewa na hii ni hatari kama atahusishwa kwenye hiyo task force ya Waziri Mkuu kwa sababu mawazo yake bado yana chembe chembe nyingi za ubabaishaji na atakwamisha hiyo task force. Pia kwa utetezi wake wa uongo jana pale nje ya ukumbi wa bunge inadhihirisha jinsi Ngeleja alivyo incompetent na kazi anayoifanya na pia jinsi ambavyo serikali inatakiwa impunguzie mzigo haraka iwezekanavyo kumpangia kazi anayoweza kuifanya kwa uaminifu, ufanisi na umakini zaidi.
Kwa ufupi uwaziri imemshinda Ngeleja na ni wazi inaonekana ni kikwazo kikubwa cha kutatua tatizo kubwa linaloikabili nchi kwa sasa.

View attachment 34088


IQ ya Ngeleja nadhani inasoma below zero
 
Huyo ndiye mbunge' bona fidei' wa tanzania.
Ndiye bora kuliko wengine na hana mbadala, hivyo kufikiri kwake ndiyo 'the best plans', 'the best strategy', 'the best copy nd paste', 'the best practice'.
Hana kosa mpaka hapo alipo hata kuweza kukiri au kujiuzuru kama sehemu ya kuleta suluhisho kwa matatizo na kero za umeme na madini hapa nchini.

Mi nafikiri serikali pia itangaze baadhi ya MAWAZIRI KAMA NGELEJA NI JANGA LA TAIFA. Huyu anguko lake ni kubwa na inabidi arudi tu kule alikokuwa akifanya kibarua cha kuwa tetea mafisadi
 
Nimejaribu kufanya PERFOMANCE APPRAISAL YA NGELEJA na haya ndio matokeo yake:
• Accomplishments: NONE
• Goals for the next appraisal period: NONE
• Problems faced: I DONT KNOW
• Solutions tried : DAVID JAIRO IS WORKING ON IT (50MIL FROM ALL DEPTS)
• Communication skills: UNKNOWN
• Inter-personal skills: NIGHT CLUBS
• Problem-solving Skills: ZERO
• Team work; ZERO
• Adaptability/Flexibility: ZERO
• Initiative; ZERO
• Decision Making: VERY POOR
• Leadership Skills: ZERO
• Maturity: PHYSICALLY ONLY
Sasa matokeo kama ndio haya mtu kama huyu amepewaje Wizara wakati kila kitu kiko wazi hapa juu kuwa haku add value yoyote katika nchi zaidi ya kula perdiem ambazo ni fedha za walipa kodi.
Tunaandaa matokeo ya IQ yake na yakiwa tayari tutayaleta humu.
 
kwanza nawashukuru wabunge kwa kuliona hili kwamba eti bajeti imehairishwa kwa sababu wizara haikupangiwa hela za kutosha na hizi wiki tatu ni za kutafuta hizo hela then warudishe bajeti bungeni" .
yeye ni diwani? ms......eeeeeee sana huyu jamaa, na anachoboa huu mgao usio kuwa na ratiba yaani sasa hivi huwezi kuweka kitoweo/matunda frijini daily kwenda sokoni tu na ukienda kununua vitu bei imekua double... ku........ KE wallah jehanamu tunaiona hapa hapa duniani
 
Akili kama izi nazifananisha na za Shakewell before use

Hakuna mtu wa kum-shake mtu hapa kila mtu anatakiwa aji-shake mwenyewe na matokeo ya kutaka watu wa ku-shake well ndo hayo ya jana bungeni sasa
 
Back
Top Bottom