Ngeleja na Malima wajiuzulu?

Naunga mkono
<br /> <br / jaribu kujiuliza kwanini wachangiaji wote wa mwanzomwanzo wamekilalamikia kichwa cha habari cha hoja hii ni kwasababu aliyeandika alimaanisha tayari wameshajiuzulu, usiunge mkono hoja kwa kukurupuka! news alert:NGELEJA NA MALIMA WAJIUZULU. ukiwa great thinker we ungesemaje?
 
kama kweli sisi ni great thinkerz 2jifunze kusoma maneno na alama za mshangao,swali au koma!heading ya hii thread mwishowe ilikuwa na alama ya kuuliza! <br /> Great thinkers huwa hawatoi majibu ya dhihaka,kukera wala yasiyo na busara!<br /> shame 2 u all mnaodhani ni great thinkerz kumbe sio
<br /> <br / shame on you usiyetaka kuchunguza wl kuuliza kwanini wachangiaji wa kwanzakwanza wamelalamikia hoja hii. Next time kuwa makini
 
<br />
<br />
Hawezi fanya hivyo. Wewe hukuona Riz1 alitumwa bungeni dodoma kuhakikisha washikaji wa Mkulu wanapitisha budget ya M/nishati? Hapo kuna mkao wa kula wa kufa mtu. Kuna Billion 408 toka serikalini na mkakati wa kuzirina ndio ulianzia pale pale bungeni.
.
Tutawa Mubarak wakitoka magogoni,mwenzie anapelekwa na kitanda mahakamani,wacha watese nasi tutawatesa! soon after 2015
 
Wadau natoa hoja ikibidi tuanzishe mkakati wa kuwashinikiza Mh W.Ngeleja na A.Malima mpaka wajiuzulu uwaziri wa wizara ya nishati na madini. Kuendelea kuwepo ofisini ni kutudhihaki na kutu tusi watanzania ambao tuna endelea kusota kwa sababu yao, ona mafuta yamepanda bei chini ya wiki mbili toka kutangazwa kushuka na kusababisha uhaba mkubwa, sasa hivi wana kashfa mpya ya kupokea mgao toka kwa Jairo, mgao wa umeme usio na kikomo wala ratiba ya kueleweka.

sidhani kama wanastahili kutoa utumishi uliotukuka kwa watanzania, wawe na dhamira zinazo suta nafsi zao watoe fursa kwa wengine wajaribu kuendesha wizara yao nyeti

Dr Mwinyi wa mabomu alijiuzulu?
 
Naona Jairo kaamua kuondoka na watu,hii itakuwa imevuja kutoka kwake,angeunguza picha nzima tungemuenzi milele na dhamira yake ingekuwa huru.
 
Hawa jamaa frankly ni matapeli.Hawana sifa yeyote ya uongozi.Mimi ninawasihi waondoke,wata-mantain some respect.Kwa sasa wanaonekana kama wababaishaji tu.
Wadau natoa hoja ikibidi tuanzishe mkakati wa kuwashinikiza Mh W.Ngeleja na A.Malima mpaka wajiuzulu uwaziri wa wizara ya nishati na madini. Kuendelea kuwepo ofisini ni kutudhihaki na kutu tusi watanzania ambao tuna endelea kusota kwa sababu yao, ona mafuta yamepanda bei chini ya wiki mbili toka kutangazwa kushuka na kusababisha uhaba mkubwa, sasa hivi wana kashfa mpya ya kupokea mgao toka kwa Jairo, mgao wa umeme usio na kikomo wala ratiba ya kueleweka.

sidhani kama wanastahili kutoa utumishi uliotukuka kwa watanzania, wawe na dhamira zinazo suta nafsi zao watoe fursa kwa wengine wajaribu kuendesha wizara yao nyeti
 
unaumwa wewe, kujivua gamba kwa lipi ngeleja leta umeme libeneke linaendelea nchi hii haiendeshwi kwa mihemuko wala kudadavua wehu. kuna sera mipango na mikakati go ngeleja kama wanakupnga waandamane waone kudadeki
 
Aisee, mna ujasiri wa kushangaza sana.Nadhani mlilo wafanya Watanzania ni gumu hata kutamka.Mungu atawalipiza.
unaumwa wewe, kujivua gamba kwa lipi ngeleja leta umeme libeneke linaendelea nchi hii haiendeshwi kwa mihemuko wala kudadavua wehu. kuna sera mipango na mikakati go ngeleja kama wanakupnga waandamane waone kudadeki
 
Back
Top Bottom