Ngeleja kikaangoni

Ngeleja kikaangoni

Manyanyaso

Member
Joined
Dec 14, 2009
Posts
7
Reaction score
1
Mh. John Mnyika Mbunge wa jimbo la ubungo, leo jioni ktk kikao cha Bunge amemtaka Waziri wa Nishati na Madini Mh. William Ngeleja ajiuzuru baada ya kushindwa kuwajibika. Moja ya hayo ni kushindwa kusimamia baraza ili kutekeleza makubaliano 26 ya Bunge baada Sakata la Richmond kutokea.

Mh. Mnyika aliongeza kwa kusema "Raisi anaangamoa kwa kuwa ameshindwa kuwawajibisha watu wanaomzunguka. Wanancha hawana imani na watu wanaomzunguka Raisi hivyo kupelekea wananchi kukosa imani na Raisi." Mh. Mnyika akaenda mbali zaidi kwa kusema, "Kama yeye angekuwa Raisi Kikwete basi angelivunja baraza la mawaziri."
 
Anasema angekuwa yeye kwa kuwa so far hakuna bold action kwa madudu yaliyofanyika kwenye wizara ya ngeleja angeshajiuzulu.
Amewatuhumu Pan Energy wezi wametuibia zaidi ya billioni 100 ambazo zingesomesha wanafunzi kama 150000 according to Action Aid
 
Waziri wa nishati na madini mh.william ngeleja hwenda akajiuzulu kutokana kutokuchukua hatua kutokana na kushindwa kuchukua hatua kutokana na wizi wa zaidi ya billion 100 uliofanywa na kampuni ya gesi ya panafrican ltd.bunge linaendelea fuatilia
 
mtoto huyu mnyika muongo kweli eti angekuwa Rais angevunja baraza la mawaziri? jimboni huku ahadi alizotoa zimemshinda, mpe fitina na majungu kwa Rais.
 
mtoto huyu mnyika muongo kweli eti angekuwa Rais angevunja baraza la mawaziri? jimboni huku ahadi alizotoa zimemshinda, mpe fitina na majungu kwa Rais.
huyo unayesema Rais akikusukia unasema hivyo anakusikitikia maana anaujua umuhimu wa huyo mh!kwa faida yako zaid rejea hansard za bunge wakati wa muswada manunuzi ya umma 2011,m sure you wont be the same again,thank you anyway !
 
mtoto huyu mnyika muongo kweli eti angekuwa Rais angevunja baraza la mawaziri? jimboni huku ahadi alizotoa zimemshinda, mpe fitina na majungu kwa Rais.

We ni masaburi orijino, na huna ubongo ila ni masaburi ndo yamejaa kichwani!
 
mtoto huyu mnyika muongo kweli eti angekuwa Rais angevunja baraza la mawaziri? jimboni huku ahadi alizotoa zimemshinda, mpe fitina na majungu kwa Rais.
are you God to know his decision if he was presdent? Na hilo jimbo unaloongelea ni kigoma juu au lipi? Be honest, politics politics politics???
 
Ngeleja jiuzulu.
Kamlipuko kadogo tu juzi ubungo leo siku ya pili huku kijijini sina umeme
 
mtoto huyu mnyika muongo kweli eti angekuwa Rais angevunja baraza la mawaziri? jimboni huku ahadi alizotoa zimemshinda, mpe fitina na majungu kwa Rais.

Naona unajibu ki- Elton John ongera. Msubiri Kamerun is soon coming
 
Back
Top Bottom