Deontic
Member
- Aug 26, 2020
- 14
- 7
Kama kichwa kinavyojieleza, nimelima shamba la mahindi kama ekari mbili maeneo ya Mufindi Iringa , mahindi yako kwenye hatua ya kuanza kuchanua.
Sasa Leo nimeenda kuangalia nimekuta jana wameshindia kuvunja vunja yale yaliyokuwa yameanza kuweka mahindi karibia shamba lote, naombeni mnisaidie niweze kuokoa yaliyobakia na niweze kuwadhibiti Kabisa hawa Ngedere.
Sasa Leo nimeenda kuangalia nimekuta jana wameshindia kuvunja vunja yale yaliyokuwa yameanza kuweka mahindi karibia shamba lote, naombeni mnisaidie niweze kuokoa yaliyobakia na niweze kuwadhibiti Kabisa hawa Ngedere.