Nge anavyonitesa baada ya kuning'ata. Naomba msaada wa tiba

Nge anavyonitesa baada ya kuning'ata. Naomba msaada wa tiba

mtungu

JF-Expert Member
Joined
Dec 15, 2021
Posts
271
Reaction score
437
Wiki moja na nusu nyuma niliumwa na nnge nikamuona kabisa nikamuua nikaendelea na mishe zangu Mimi ni fundi ujenzi ndo kazi yangu si unajua tena ukiwa kitu kinakupata mara kwa Mara huwa huna wasi wasi maana si mara ya kwanza kuumwa siku tano nyuma hali yangu ikawa mbaya sana

Usiku nikiwa nimelala homa kali lilinijia joto kali na baridi sana mtoki ukawa umevimba sana na unauma balaa nilikuwa na michubuko kwenye miguu nikajua ndo sababu.

Nikatibu michubuko yote maana Mimi hata niwe na vidonda vipi nikipaka pipiefu vinakauka haraka sana ila nikaona hali inazidi kuwa mbaya nikaenda hospitali nikamuelezea Daktari akanichoma shindano ila bado mguu umevimba na mtoki unauma kwa mbali , homa pia kwa mbali nalisikia, mate yanajaa sana mdomoni

Msaada anayejua dawa zaidi yakuweza kunisaidia.


IMG_20220205_200207_269.jpg
 
Back
Top Bottom