Ngazi za Mishahara: PGSS 9 & PGSS 10

naona hujui maana ya watumishi wa umma; lile ongezeko la July ni kweli haliwahusu watumishi wote wa umma, hata tangazo lilifanunua. ila ujue kuwa mtumishi wa umma ni mtumishi yeyote anayefanya kazi ktk ofisi/taasisi yoyote ya serikali, iwe wizarani, mkoani, halmashauri, au mashirika ya umma.

Usijifanye mjuaji sana kumbe unaungua na jua tu. Ni bora uulize ili upewe ufafanuzi.

By your definition, je, wanajeshi ni watumishi wa umma?
 
tafuta humu, kuna mmoja alishaweka ngazi zote za mishahara na viwango.
 
NO comment cna hela afu we unavyotaja hayo mangazi unanikumbusha mbali sana tarehe 28 had tar moooja.
 
ZeMarcopolo kumbe wala hukunielewa that day; halafu huna haja ya kujibu kwa kupanic kihivyo, kuwa mstaarabu. Nani alikuambia kuwa wanajeshi/askari ni watumishi wa umma?
 
By your definition, je, wanajeshi ni watumishi wa umma?

Duuuu, kwa mawazo na ufahamu wako wanajeshi unadhani sio watumishi wa Umma? Kila mtumishi anayelipwa mshahara na Hazina huyo ni mtumishi wa Umma.
 
ZeMarcopolo kumbe wala hukunielewa that day; halafu huna haja ya kujibu kwa kupanic kihivyo, kuwa mstaarabu. Nani alikuambia kuwa wanajeshi/askari ni watumishi wa umma?

Wanajeshi nao ni watumishi wa umma tena wana wizara zao ulinzi kwa jwtz, mambo ya ndani magereza, polisi na uokoaji na zimamoto. Watu mbona vilaza hivi jamani!
 
Jamani haya mambo mnayo ya discuss ya salary scale ni SIRI.Shauri yenu naona jamaa hapo ameamua kuanika mishahara ya watumishi wa umma bila hata uoga.
 
Wanajeshi nao ni watumishi wa umma tena wana wizara zao ulinzi kwa jwtz, mambo ya ndani magereza, polisi na uokoaji na zimamoto. Watu mbona vilaza hivi jamani!

zima moto na uokoaji hawalipwi na Hazina kwahiyo sio watumishi wa umma
 
mtumishi wa umma in english ni civil servant, sasa niambie je askari ni civil servants? kasome vizuri maana ya hayo maneno sio unakashifu tu watu!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
mtumishi wa umma in english ni civil servant, sasa niambie je askari ni civil servants? kasome vizuri maana ya hayo maneno sio unakashifu tu watu!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!

Hao waache na ujinga wao. Hawataki kujifunza kwa sababu wanadhani wanajua kila kitu.

Cc ndyoko
 
Last edited by a moderator:
naona hapa patanifaa hasa ktk somo lang la public sectoraccounting, endelea kushusha madude mkubwa ang
 
Umejitahidi sana, hivyo ndivyo inavyotakiwa. swali likikushinda unalibadilisha mpaka lifae kujibiwa kwa majibu uliyonayo. Very good. The answer given is true but not correct

Hahahaha...kuna burudani humu!

Sent from BlackBerry 9900
 
Mwadunda umekosea ndugu yangu; unadhani kuwa mtumishi wa umma mpaka ulipwe directly na hazina? si kweli hata kidogo!! Taasisi nyingi za serikali mishahara yao haitoki hazina directly, ila nao ni watumishi wa umma: nnachokiona hapa wengi bado hatuelewi maana ya utumishi wa umma ndo maana mnaongea hivi!!!!!!!!!!
 
Hata Mama Ntilie nae ni Mtumishi wa umma kwasababu anahudumia umma wa Tanzania, japo Mshahara wake hautoki hazina direct moja kwa moja. Kama unabisha ANDAMANA
 
Back
Top Bottom