Ngasa kutwaa kiatu cha dhahabu Afrika

Ngasa kutwaa kiatu cha dhahabu Afrika

kwanini hii ishu iwe ya kujadiliwa, kwan sheria za CAF haziko wazi km FIFA ambapo inajulikan mwny mechi chache ndo anapewa kiatu?
 
Kisheria za soka ni ya Ngasa ila CUF wanaleta mizengwe.

Hastahili. Alizifunaga vijitimu hata ndanda wangetoa dozi. Hatua za awali. Ila kama sheria zasema apewe, basi apewe na apewe tu na wapigwe tu.
 
Kuna uwezekano mkubwa wa Ngasa kuchukua tuzo hiyo endapo wachezaji Bel Elhed na Ndombe hawatafunga katika fainali ya mwisho itakayozikutanisha timu zao za El setif na Vital club.Tumuombee mtanzania mwenzetu..

Inshalah kama CAF hawataleta majungu Ngasa atapewa kiatu chake Leo.

kwani ligi yetu ya bongo (ligi ya mchangani) inafanana na ligi zingine barani afrika?
 
Hastahili. Alizifunaga vijitimu hata ndanda wangetoa dozi. Hatua za awali. Ila kama sheria zasema apewe, basi apewe na apewe tu na wapigwe tu.

uanamaanisha ile timu aliyoifunga Ngasa haikuwa kwenye michuano hii ya CAF??? au!!!!.....
 
Amelingana kwa goal 6 na wenzake watatu sikui tuzo itakuwa ya nani xaxa

Hahahaha! Ahsante Mkuu kwa marekebisho.Mi ni mzalendo wa kawaida tu!
 
Back
Top Bottom