Ngara, Kagera: Mkutano wa hadhara wa Rais Magufuli na Rais Nkurunziza wa Burundi

Akili za makinikia
 

Halafu Kagame, Magu na Piere wataongoza wapi? Au unataka vita vianze upya?
 
Hivi huwa hana jambo jipya la kuongea...kila siku elimu bure, reli ....
 
Kusema ukweli tumetunukiwa Rais ambaye kwa kiasi kikubwa ana mtazamo wa kuijenga nchi yetu. Ila kama binadamu yeyote yule, vile vile ana mapungufu yake, hasa kwenye uwasilishaji. Kuna maamuzi na hatua huwa anachukua, na unaona umuhimu wake na kujiuliza "Kwa nini halikuweza kutendeka huko nyuma?". Japo sikubaliani na mitazamo yake yote au maamuzi yake mengine, ila kiukweli kwenye swala la miundombinu kuna mabadiliko mazuri yanaonekanana, na hata kwenye kuwapa wananchi vipaumbele. Changamoto bado ni nyingi, kuna mengine tunabomoa badala ya kujenga (kwa mtazamo wangu).

Laiti kama tungekuwa na 'strategists' wazuri (labda tayari tunao ila bado nina 'upofu' wa kufahamu hilo) wakuhakikisha sera, kanuni, sheria, utendaji, matumizi, utunzaji, nk. unazingatiwa sanjari na maono ya nchi, na kushabihiana katika kila sekta na uwanda; tena kwa kushirikisha wananchi na wadau.
 
MAfashist wanatakiana heri ya uwongo!! time is coming! Kwa hiyo amejipambanua na aina ya marafiki!! tujianda kupambana atakapong'ang'ania ikulu 2020!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…