Lancashire
JF-Expert Member
- Sep 20, 2014
- 14,045
- 10,329
Akili za makinikiaNapendekeza Rwanda na burundi zibadilishe katiba na zipelleke miswada bungeni na waitishe kura za maoni za kuomba nchi hizo ziungane na tanzania kuwa nchi moja tuwe na nchi moja ambayo itajulikana kama Tanzarwabu ikijumuisha tanganyika zanzibar rwanda na burundi.Nina uhakika kura za.maoni zikipigwa wananchi wataridhia bila shida.Rwanda na Burundi ni kama.watanzania tu na.Tanzania inaninfluence kubwa kwenye nchi.hizo kuliko kwingine.pia faida za kiuchumi na kisiasa ni kubwa mno