bryan2
JF-Expert Member
- Jun 8, 2016
- 3,323
- 4,667
Usiku wa leo umechezwa mchezo wa kuwania kufuzu kwa kombe la dunia kati ya wababe wawili wa Amerika Ya Kusini(South America derby),Brazil vs Argentina
Brazil wakiwa nyumbani wamefanikiwa kuwatandika bila huruma timu ya Argentina iliyokuwa imesheheni wakali wake wote kama vile Messi,Di Maria,Aguero,Higuan,Otamendi,Marcherano,Bilgia...nk Jumla ya magoli Matatu kwa Sifuri
Brazil wakipiga Soka la Kitabuni lenye Ufundi mkubwa aka Samba walianza kufunga magoli yao kupitia kwa Coutihno,Neymar na Paulihno akifunga la mwisho.
Chini ya kocha wao mzawa Tite Ukuta wa Brazil ukiongozwa na Miranda,Marquinos,Alves na Marcello uliwadhibiti washambuliaji wa Argentina na kuhakikisha Nyavu zao hazigushwi huku golini akisimama Allison.
Ulikua mchezo mzuri sana mpira ulianza saa nane na dk 45 saa za Tanzania,Naiona ile Brazil ya Akina Cafu,Lucio,Robert Carlos,Dida/Claudio Tafareli,De lima ikirudi kwa Kasi.
Hongereni Samba Boys/Brazil kwa ushindi wenu mnono.
Brazil wakiwa nyumbani wamefanikiwa kuwatandika bila huruma timu ya Argentina iliyokuwa imesheheni wakali wake wote kama vile Messi,Di Maria,Aguero,Higuan,Otamendi,Marcherano,Bilgia...nk Jumla ya magoli Matatu kwa Sifuri
Brazil wakipiga Soka la Kitabuni lenye Ufundi mkubwa aka Samba walianza kufunga magoli yao kupitia kwa Coutihno,Neymar na Paulihno akifunga la mwisho.
Chini ya kocha wao mzawa Tite Ukuta wa Brazil ukiongozwa na Miranda,Marquinos,Alves na Marcello uliwadhibiti washambuliaji wa Argentina na kuhakikisha Nyavu zao hazigushwi huku golini akisimama Allison.
Ulikua mchezo mzuri sana mpira ulianza saa nane na dk 45 saa za Tanzania,Naiona ile Brazil ya Akina Cafu,Lucio,Robert Carlos,Dida/Claudio Tafareli,De lima ikirudi kwa Kasi.
Hongereni Samba Boys/Brazil kwa ushindi wenu mnono.