Next Week: Prof Kikwete, kuvunja baraza la mawziri

Next Week: Prof Kikwete, kuvunja baraza la mawziri

Hebu tupe chanzo cha tetesi yako, maana kuvunjwa baraza lote itakuwa na maana hata waziri mkuu anaoshwa. Ila sina hakika kama itafanyika hivo.
 
MH halafu yatakiwa mjue kua swala hili si lakitoto kunawatu hum tulipoteza muda kufuatilia jambohili na wengine tushafikia kutukanwa nje ya nchiyetu kwa jambo hili, mtu ukiingia fb ESCROW, Twita, whtssp,nk hivyo TAFADHARI TOENI TAARIFA SAHIHI JAMANI
 
Next Week: Prof Kikwete, kulisuka mpya baraza lake la mawaziri, stay tune.
 
Kuna habari zinaandikwa kizembezembe kama hii kumbe ndio watu wanapima upepo .......au imetoka kwa source ya ukweli.....msipuuze....
 
Hamin - Amini.
Husiamini - Usiamini.
Hatimae - Hatimaye.
Rais - Raisi.
Hameamua - Ameanua.
Stay tune - Stay tuned..
 
Mnaanza kujitekenya na kucheka wenyewe jiandae kisaikolojia juu ya unachoamini.
 
Hamini - Amini.
Husiamini - Usiamini.
Rais - Raisi.
Hatimae - Hatimaye.
Stay tune - Stay tuned.
 
kiswahili kizuri
hata Pdidy anajua vyema
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom