[Newston's girlfriend];Baby,How do i look today? [Newton];You look (TAN C/SIN C).>>> [Newton's girlfriend];Whaaat!?>>> [Newton];I mean SIN C/{COS C*SIN C}=SEC C.
Wrong arithmetics!
Tan C/SIN c = sin C/{COS c*sin C} =TANc*Cosec C!!!
hahahahaha dah
Mkuu 1/sin sio Sec C ni Cosec C,toka nipo shule watu kibao walikuwa wanawianisha Cos kwa cosec na sin kwa sec kitu ambacho si kweli,utakuwa umenielewa kama ulisoma advanced pure mathematics.1/cos C ts cosec C na 1/sin C ndio Sec C if my memo ipo njema.
tan c/ sin c inakupa sin c / cos c * sin c ambaye very simple hizo sin c zinakatika itatoa 1/cos c
Umeua mkuu.Sasa hiyo ndio dose mpya ya Malaria kwa hapa Tanzania kwa Sekunde au ni nini??
Maana naona wote mnafupisha kama Madaktari wetu; Tanzania mnaandika tan, sekunde mnaandika sec, alafu wote mmekosea maana hiyo temperature mnaandika C peke yake bila kile kisifuri kwa juu. Acheni kutuzingua hata na sie tunafaham maandishi ya kidaktari msitubabaishe na MOI yenu haaaa....!
Umeua mkuu.
mkuu temperature kwenye log hapo umetulambaSasa hiyo ndio dose mpya ya Malaria kwa hapa Tanzania kwa Sekunde au ni nini??
Maana naona wote mnafupisha kama Madaktari wetu; Tanzania mnaandika tan, sekunde mnaandika sec, alafu wote mmekosea maana hiyo temperature mnaandika C peke yake bila kile kisifuri kwa juu. Acheni kutuzingua hata na sie tunafaham maandishi ya kidaktari msitubabaishe na MOI yenu haaaa....!
1/cos C ts cosec C na 1/sin C ndio Sec C if my memo ipo njema.