Newton ni noma.{kwa watakaoelewa}.

Jaguar

JF-Expert Member
Mar 6, 2011
3,438
1,026
[Newston's girlfriend];Baby,How do i look today? [Newton];You look (TAN C/SIN C).>>> [Newton's girlfriend];Whaaat!?>>> [Newton];I mean SIN C/{COS C*SIN C}=SEC C.
 
[Newston's girlfriend];Baby,How do i look today? [Newton];You look (TAN C/SIN C).>>> [Newton's girlfriend];Whaaat!?>>> [Newton];I mean SIN C/{COS C*SIN C}=SEC C.

Wrong arithmetics!
Tan C/SIN c = sin C/{COS c*sin C} =TANc*Cosec C!!!
 
Wrong arithmetics!
Tan C/SIN c = sin C/{COS c*sin C} =TANc*Cosec C!!!
TanC/SinC=SinC/{CosCxSinC},simplify hapo utapata 1/Cos C which is equal to Sec C,unless you are here simply to criticize.
 
tan c/ sin c inakupa sin c / cos c * sin c ambaye very simple hizo sin c zinakatika itatoa 1/cos c
 
dah, yani hesabu ndogo hivo zinawasumbua? mtoa mada yupo sahihi kwamba jibu ni sec C. hapo hamna ubishi.
 
1/cos C ts cosec C na 1/sin C ndio Sec C if my memo ipo njema.
Mkuu 1/sin sio Sec C ni Cosec C,toka nipo shule watu kibao walikuwa wanawianisha Cos kwa cosec na sin kwa sec kitu ambacho si kweli,utakuwa umenielewa kama ulisoma advanced pure mathematics.
 
tan c/ sin c inakupa sin c / cos c * sin c ambaye very simple hizo sin c zinakatika itatoa 1/cos c

Sasa hiyo ndio dose mpya ya Malaria kwa hapa Tanzania kwa Sekunde au ni nini??

Maana naona wote mnafupisha kama Madaktari wetu; Tanzania mnaandika tan, sekunde mnaandika sec, alafu wote mmekosea maana hiyo temperature mnaandika C peke yake bila kile kisifuri kwa juu. Acheni kutuzingua hata na sie tunafaham maandishi ya kidaktari msitubabaishe na MOI yenu haaaa....!
 
Sasa hiyo ndio dose mpya ya Malaria kwa hapa Tanzania kwa Sekunde au ni nini??

Maana naona wote mnafupisha kama Madaktari wetu; Tanzania mnaandika tan, sekunde mnaandika sec, alafu wote mmekosea maana hiyo temperature mnaandika C peke yake bila kile kisifuri kwa juu. Acheni kutuzingua hata na sie tunafaham maandishi ya kidaktari msitubabaishe na MOI yenu haaaa....!
Umeua mkuu.
 
Sasa hiyo ndio dose mpya ya Malaria kwa hapa Tanzania kwa Sekunde au ni nini??

Maana naona wote mnafupisha kama Madaktari wetu; Tanzania mnaandika tan, sekunde mnaandika sec, alafu wote mmekosea maana hiyo temperature mnaandika C peke yake bila kile kisifuri kwa juu. Acheni kutuzingua hata na sie tunafaham maandishi ya kidaktari msitubabaishe na MOI yenu haaaa....!
mkuu temperature kwenye log hapo umetulamba
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom