NEWS ALERT: IDD SIMBA aanza kwa mkwara...

Sidhani kama kuna mpango wa siri hapa, ama sivyo Idd Simba angekuja na dhamana yenye reasonable value, mimi nafikiri kitendo cha yeye kujilipua na hiyo dhamana yenye thamani ya 8 Billioni ni kwamba alihisi wanataka kumlaza ndani kijanja janja hivyo akaja fully prepared kama noma na iwe noma
 
hivi ule mjumba wa Iddi Simba kule Mikocheni ni bilioni 8 tuuu?

haiwezekani

nijuavyo mimi ile nyumba na kiwanja na ufukwe ni zaidi ya bilioni 20 unless Simba kaonyesha hati nyingine
 
Nchi ya kitu kidooogo, ni Nchi ya Watu wadooogo, Ukitaka chai wewe trafic nenda Mufindi!
 
Tuongelee kesi kwa utajiri Idd simba nitajiri wa miaka nenda rudi tena ni mrithi wa utajiri wa baba yake, yasemekana hata corporate branch ya nbc pale city centre ilikuwa yao. umatemate wa simba si wa jana wala juzi tuongelee hili la kesi yake.
 

dah,,,aisee hii picha title yake ni:SARAKAS ZA TAKOKURU NA VIGOGO WALA RUSHWA TANZANIA-PART III
 

sure mdau,,,,,ila wenyewe wanadai suala la haki za binadam zinaangaliwa.......,hata hoseah ashawai kusema hayo,including Jk
 
Tuongelee kesi kwa utajiri Idd simba nitajiri wa miaka nenda rudi tena ni mrithi wa utajiri wa baba yake, yasemekana hata corporate branch ya nbc pale city centre ilikuwa yao. umatemate wa simba si wa jana wala juzi tuongelee hili la kesi yake.

isitoshe ni mwenyekiti wa Mababu na mamwinyi wa Dar es Salaam,sasa siku wakimshawish JK ujue kesi inafutwa......Hata Jk alipokubali Iddi Simba amkaribishe kwa wazee wa Dar,haikua fair kabisaaaa,,,,,,
 
Nashangaa hati na thaman ya nyumba zimekubaliwa bila hata mjadala kama ule wa Mramba hadi wathamini wa serikali wazifanyie uthamini!au walishajua wakazifanyia uthamini serikalini?
 
yani hapo ni kama vile ameweka statement kua hapo hafungwi mtu..atahonga hakimu,witnesses na wengineo wote watakoitwa hapo mahakamani...kua na hela raha sana ukiwa hapa bongo
 
Akili Kumkichwa....hapo ujue kila kitu kilikamilika pamoja na dhamana na uigizaji utakaofanywa mahakamani...Pale walikuwa wakiperfom walichokuwa wamepractice kabla....Tanzania ni zaidi ya uijuavyo...

Unafikiri TAKUKURU walipokuwa wanachunguza walikuwa hawamuulizi maswali? Kama jibu ni ndio basi alijitayarisha na kujuwa kuwa hii itafika mahakamani. Kuna nini cha ziada hapo? Hapo ndio utaona tofauti ya Mramba na Simba.
 
bonge la movie lakini mara zote 'stering' huwa hauwawi akiuwawa ujue picha limekwisha. N atusubiri ili tuone mwisho wake
 
Hao kesi zao zitakuwa za kweli kuanzia 2015 magwanda wakishika nchi, sasa hivi acha wacheze maigizo yao tu
 
Kama ana Umatemate wa jinsi hiyo kwa nini aliruhusu pesa za UDA kuingia kwenye akaunti yake? Maana sijaelewa hilo somo alilotupa Wadanganyika!
 
kila mtu ana haki ya kupata dhamana.isipokuwa kwa makosa ya robbery,mauaji ya kukusudia na madawa ya kulevya ya mamilioni ya pesa.habari ndio hiyo someni sheria zenu za nchi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…