Jasho la Damu
JF-Expert Member
- Mar 10, 2011
- 956
- 120
Hv sasa mkiti wa Chadema wilaya ya Ngorongoro anamwaga sumu zinazotolewa na ccm. Kutokana na serikali kugawa hati ya vijiji vipya na kutangaza uchaguz wa serikali mtaa/kijiji na kitongoj hivyo ccm wameanza kuwatangaza na kuwasimika viongoz wa chama kuwa viongoz kamili kabla ya uchaguz wenyewe.