Hiyo ni kideri hapo unatakiwa kuwanywesha V-RID Ili vimelea/ kustopisha Mgonjwa olafu ndio uwape Dawa yupo dogo fani TDM anachanganya Dawa na hiyo wanapona kabisa
Mimi najua ya kieyeji ila kwa sasa ni ngumu kuipata ukame tatizo,pia kuna mtu aliniambia majivu yanasaidia jaribu nayo.
Unachukua kiasi unatia Maji unawanyesha