Newala hakuna shughuli za kijamii siku ya leo.

Newala hakuna shughuli za kijamii siku ya leo.

Soko limefumgwa na maduka yote na shughuli zote

sababu ya kukosekana kwa huduma hizo ni nini, au ndo wameamua kujipa likizo na wao, pengine ni masuala ya gesi ya mtwara? funguka mkuu ili hii habari yako iwe na maana.
 
Toa habari kamili,ni kwa ajili ya watuhumiwa wa uchochezi kama wanavyoitwa au ni kitu gani?
 
Safi sana mpaka ccm wakome ujambazi.na unyanyasaji.

kwani soko ni la ccm au walivyofunga ccm imepata hasara gani ngoja waendelee na hizo akili zao wanafikiri wanamkomoa mtu.
 
kwani soko ni la ccm au walivyofunga ccm imepata hasara gani ngoja waendelee na hizo akili zao wanafikiri wanamkomoa mtu.
na ndio maana ccm hawafanyi lolote kuhusu wananchi maana hawana uchungu na matatizo ya wananchi wakifa kwao sawa, wakikosa huduma za kisoko kwao sawa, watoto wakifeli kwao sawa, ili mradi wao wna maisha mazuri yaani viongozi sio wananchi wa kawaida, viongozi maana wao ndio ccm. lakini mwisho wao umefika
 
Masisiem yamewadharau sana wana mtwara kataeni udhalimu woote wa magamba na muwaonyeshe nguvu ya umma ni zaidi ya wanajeshi na risasi...
 
kwani soko ni la ccm au walivyofunga ccm imepata hasara gani ngoja waendelee na hizo akili zao wanafikiri wanamkomoa mtu.

we bwana uko nchi gani? hujui kuwa unaponunua kitu chochote unatoa kodi ? PILI HUJI KUWA KUNA USHURU UNAOKUSANYWA KUTOKA KWA WAFANYA BIASHARA . We utakuwa nje ya nchi bila shaka.na kama uko nchini kaangalie matokeo yenu ya awamu ya pili.
 
ujinga mtupu ndo maana umaskin hauishi,unasimamisha shughul za kiuchum unajikomoa mwenyewe,na wanaoteseka ni kina mama na watoto,,tumbaf sao
 
wanajikomoa wenyewe hao wenzao wa wilaya ya TANDAHIMBA shughuli zinaendelea kama kawaida wakati wilaya hii ndo kitovu cha vurugu zote. so wana newala mnajitia hasara na kukaribisha umaskini wenyewe. kifupi kwa sasa wanaosapoti swala la gas niwachache mno watu wanaogopa kichapo.
 
wanajikomoa wenyewe hao wenzao wa wilaya ya TANDAHIMBA shughuli zinaendelea kama kawaida wakati wilaya hii ndo kitovu cha vurugu zote. so wana newala mnajitia hasara na kukaribisha umaskini wenyewe. kifupi kwa sasa wanaosapoti swala la gas niwachache mno watu wanaogopa kichapo.

kumbe ndio nyie mnao mdanganya rais kuwa wanao unga mkono suala la gesi ni wachache sana! kama unaishi mtwara basi wewe ni mwongo na huna taarifa sahihi.mimi ni mtu wa kuja tu huku lakini suala hili limewakaa moyoni watu wa mtwara kuliko hata dini yao.kuwa mkweli ishauri vizuri serikali.
 
Back
Top Bottom