New video: Bracket ft Diamond, Tiwa Savage_ Alive

New video: Bracket ft Diamond, Tiwa Savage_ Alive

Wanasema truth sounds like hate to those who hate truth, mi sina team ila ni kweli diamond kila video swaga zilezile kukenua na kurusha rusha kwapa.
mashabiki wake wanapenda hiyo kukenua na kurusha rusha kwapa... anything else?
 
Video bora ya kufungia mwaka 2014
 
Kichupa kinapenda tz we fly naona hata mwanadada Shadee na yeye kauza sura
 
Maigizo mmepewa sasa mpongezeni!!Naona Nassib anaprogress nw,anauwezo wa kutoa sauti ikasikika sio kile kugugumizi chake cha kwenye coco...

kile sio kigugumizi mama mbona povu linakutoka!ile track ilifanywa mwanzo nigeria ila Waje alipokuja bongo Diamond aliomba wai'remake abadilishe verse zake hapo ndipo tuddy akabugi kwenye mixing tatizo tz tuna lundo maproducer hatuna ma'sound engineer.
 
kile sio kigugumizi mama mbona povu linakutoka!ile track ilifanywa mwanzo nigeria ila Waje alipokuja bongo Diamond aliomba wai'remake abadilishe verse zake hapo ndipo tuddy akabugi kwenye mixing tatizo tz tuna lundo maproducer hatuna ma'sound engineer.

Sasa kumbe unakubali kuwa sauti ilikua haitoki!!Povu linakutoka wewe unayepingana na ukweli!!
 
wagonjwa wanaimba wamefurahi huku wanadance,hii dance ya domo ya kurusha rusha mikono now inaboa,kurusha tu mikono na kukenua domo yaani kila video pozi hiyo hiyo
Anakenua hatari!!anarusha mikono kama nini sijui..
 
Kumbe yule dem ni Shadee, Bracket wamempata wap huyo

Alienda kwenye coverage ya tuzo za Chanel o...video ilishutiwa kipindi dai ameenda kwenye tuzo....shadee akajisogeza location kuangalia matukio wakati wana shoot ndio wakampa kipande nae auze.
 
Mi niendelee piga MUTE tu. Nshachonga sana.
 
Alienda kwenye coverage ya tuzo za Chanel o...video ilishutiwa kipindi dai ameenda kwenye tuzo....shadee akajisogeza location kuangalia matukio wakati wana shoot ndio wakampa kipande nae auze.

Thanx mkuu kwa ufafanuz
 
Alienda kwenye coverage ya tuzo za Chanel o...video ilishutiwa kipindi dai ameenda kwenye tuzo....shadee akajisogeza location kuangalia matukio wakati wana shoot ndio wakampa kipande nae auze.

Ulikuwepo? Au mashauzi tu?
 
Back
Top Bottom