Voda ni noma kwakweli,ikifikaga wikend kama hivi najiungaga na kifurushi cha buku unlimited asubuhi then nawaachia wadogo zangu computer.Nikirudi jion nawakuta wanaendelea kula mziki utube/kucheki muvi online.Voda wanamaanisha kweli,tigo nawakubali kwenye mambo mengine but net yao huwa ya kichovu.But ntaijaribu nione km inafikia mziki wa voda