FairPlayer
JF-Expert Member
- Feb 27, 2006
- 4,145
- 716
Mkuu Nyambala,
Mwenye Dowans anajulikana ila tatizo ni kwamba yeye mwenye na mafisadi wenzake hawataki hajulikane! Mambo ya kipuuzi puuzi tu!
au itakuwa "mwali si mwali, kageuka msumari".. !
Lets refresh our memories:
a. Haya majenereta yalinunuliwa kwa fedha za nani na kwa kiasi gani na kwa udhamini wa nani?
kama ni kwa wale wenzetu wenye nchi za barafu.. this is the proverbial "tip of an iceberg"..
On Dowans, Dr Rashid said the legal consultants traced the origins of the firm all the way to Costa Rica, where it was registered as having a capital of only USD 100 and had no references.
``Both these companies (Dowans and Richmond Development Company LLC) were dubious and were shrouded in mystery,`` he said.
Explaining why they had given Dowans Tanzania Limited up to August 1 to close shop, he said it was a gesture of politeness so that Dowans would get a chance to fold up and settle the claims of their employees.
Responding to a request to reveal the identity of people behind Richmond Development Company LLC, he said Tanesco was dealing with the managing director of Richmond, Mohammed Gire.
``The problem is that people know that Gire does not have the financial capacity to run such a business. There are a lot of questions as to how he was awarded this contract and who are the persons behind him…because he only owns an internet café,`` Dr Rashid said.
Pressed to name individuals who were transacting with Tanesco on behalf of Dowans, he named them as Henry Surtees, who was the company representative, and managing director Guy Picard, who rarely visited Tanesco. Both are foreigners.
On whether the impact of Dowans withdrawal from power generation would be felt by Tanesco, Dr Rashid said: ``Their absence won't be felt.``
He added that Downs Tanzania Limited were generating 100MW and now Tanesco had already installed another 100MW power generating plant of its own at Ubungo, Dar es Salaam.
Asked whether Tanesco was mulling over the possibility of purchasing the Dowans plant, he said the possibility was very slight as such an arrangement ``will not help this nation.``
He said Dowans were supposed to move all their equipment from the site now that the contract was no more.
Mkuu Nyambala,
Mwenye Dowans anajulikana ila tatizo ni kwamba yeye mwenye na mafisadi wenzake hawataki hajulikane! Mambo ya kipuuzi puuzi tu!
Kamati ya Zitto walilijua hili? Kama jibu ni hapana, je wapo tayari kubadili msimamo wao?
IPP MEDIA
09 Mar 2009
By Simon Mhina
Kwa upande wake Makamu Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Hesabu za Mashirika ya Umma, Estherina Kilasi ambaye pia ni Mbunge wa Mbarali (CCM)...alisema maneno ambayo yamemkariri Mwenyekiti wao (Zitto Kabwe) yalikuwa maoni yake binafsi na wala sio ya kamati kwa vile hakuna hata kikao kimoja ambako walikubaliana na ombi la kununua mitambo hiyo.
``Wala hatujawahi kutoa ushauri wowote juu ya suala hilo, zaidi ya kuwaelekeza Tanesco walifikishe kwa kamati husika ya Nishati na Madini,``alisema
Akifafanua, alisema kilichotokea siku hiyo ni semina ambayo Tanesco waliiandaa na kuwakaribisha wajumbe wa Kamati hiyo kwa lengo la kuwaelezea mipango ya kununua mitambo ya Dowans kwa kuwa wana kiasi cha Sh. bilioni 60 kwa ajili hiyo.
``Sisi tuliwahoji kama mnazo Sh Bilioni 60 mnashindwajwe kuongezea kidogo ili mnunue mitambo mipya? Vilevile tukawahoji hivi mambo haya mnayotuambia kwenye semina wameyapeleka kwa wahusika ambao ni Kamati ya Niashati inayoongozwa na William Shelukindo?,`` alisema Kilasi na kuongeza:
``Baada ya hapo tuliwashauri suala hilo walifikishe kwa wahusika (Kamati ya Madini) na hakuna hata mahali pamoja tulipolitolea uamuzi suala hilo kwa vile halituhusu.``
Mbunge huyo alisema kufuatia kauli za Zitto ambazo zimezua malumbano, na kuifanya Kamati yao ionekane ina `walakini` wanamsubiri kwa hamu arejee ili wamuweka kiti moto.
``Unajua baada ya semina ile mimi nilienda Zambia, huku nyuma ndo nikasikia malumbano, lakini baada ya kurejea nimewauliza wenzangu na hasa makatibu wanaoandika muhtasari, kama kuna kikao kingine kimeketi na kutoa uamuzi, lakini wakasema hapana. Sasa tunamsubiri Zito arejee safarini ili tumuulize kulikoni? ``Alisema.
Hebu tujikumbushe kidogo kitu yaliyopita kabla ya kuvunjwa kwa mkataba:-
Huyu Dr. Idris Rashidi akibanwa ataweza kutufunulia mengi kuhusu wamiliki wa Dowans na alishinikizwa na nani hii mitambo inunuliwe. Kuhusu Zitto mmh, nakumbuka wengine tulimwambia mapema kabisa ajitoe, lakini aliamua kutetea alichoita msimamo wake eti kwa maslahi ya Taifa.
Sasa mimi nina"appeal" kwa Mh. Zitto, mbunge wa Kigoma kupitia Chadema awe mwungwana na akubali alighafilika. Gari karibu linaondoka na asipoangalia ataachwa kwenye mataa !! Hakuna tena atakayeweza kuzuia yatakayojiri baada ya muda si mrefu.