New Order is real. It is here to stay

Raia Fulani

JF-Expert Member
Mar 12, 2009
10,910
2,789
Wakuu nimekaa nikatafakari kiasi kuhusu mwenendo wa dunia yetu hii. Tunaishi kwa matukio. Dunia bila matukio, yawe mazuri au mabaya haijakamilika. Sasa wapo ambao wanatengeneza hayo matukio na wapo ambao wanaishi kulingana na hayo matukio. Wengi wetu tunaishi kulingana na matukio hayo. Wachache wao ndio hutengeneza matukio hayo. Mojawapo ni trend ya sasa ya uhuru wa kujiamulia hasa linapokuja suala la mwili wako.

Kwa uchache niliyoyasikiabtoka hiyo new order ni kuwa taasisi ya familia inavunjwa vunjwa. Pia kuundwa kwa jinsia ya tatu. Imani itahama toka kumwabudu Mungu hadi kumuabudu binadamu, n.k.

Kwa trend iliyopo ni kuwa tunaishi katika dunia ambayo kwa asilimia kubwa tunaona au kusikia yanayotendeka. Tunaweza kuweka kumbukumbu kwa namna mbalimbali. Hata baada ya miaka 2000 kuanzia leo, vizazi vijavyo vitakuwa na access ya taarifa nyingi sana kama vile wanaangalia filamu. Hayo sisi hatukubahatika kuyaishi, ndio maana hadi leo bado suala la imani kwa mfano lina utata mwingi. Picha ya Yesu tu inatutoa jasho kama kweli tunazoona zinakaribiana na ufanano wa Yesu mwenyewe.

Hoja yangu ni kwamba, ukristu uliingia duniani miaka 2000 iliyopita. Kabla ya hapo hapakuwa na ukristu. Yapo mengi sana yalifanyika katika kuueneza ukristu. Ndipo tunasikia vita ya msalaba, yaani Crusade. Walioishi nyakati hizo wangekuwa na teknolojia hii tungeshangazwa na yaliyopita. Hatimaye ukristu upo.

Miaka 500 baadaye uislam ukaingia. Ukaenezwa kwa kila mbinu na mabavu na tukasikia kuhusu jihad. Watu wakafa, watu wakasaliti imani zao. Hatimaye uislam upo.

Ukapita muda mrefu zikaanza pilika za New world order na matao yake. Ndio leo tunasikia kuhusu LGBTQIA na shifa zake. Hii ajenda kwa sasa inapitishwa kulingana na wakati tuliopo. Muda ukifika ni wazi kuwa new world order nayo itashika hatamu. Haya yatatokea kwa kuwa hii ni dunia.

Tuliosoma historia tuliwashangaa sana kina Chief Mangungu kwa kurubuniwa kwa shanga na vioo. Miaka 500 mbele vizazi vijavyo vitashangaa ilikuwaje babu zao wakarubuniwa kwa kukopeshwa. Hatuyaoni haya kwa kuwa tuko ndani ya box. Tukishatiwa katika kapu la historia ndio itakuwa njia bora zaidi ya kujua ni nini kilitokea kipindi cha karne ya 21. Ni hayo tu
 
Hao wachache wanawezaje kukwepa mfumo na kutoishi kikawaida kawaida ( Order) na sisi tunakwama wapi ?
 
Wakuu nimekaa nikatafakari kiasi kuhusu mwenendo wa dunia yetu hii. Tunaishi kwa matukio. Dunia bila matukio, yawe mazuri au mabaya haijakamilika. Sasa wapo ambao wanatengeneza hayo matukio na wapo ambao wanaishi kulingana na hayo matukio. Wengi wetu tunaishi kulingana na matukio hayo. Wachache wao ndio hutengeneza matukio hayo. Mojawapo ni trend ya sasa ya uhuru wa kujiamulia hasa linapokuja suala la mwili wako.

Kwa uchache niliyoyasikiabtoka hiyo new order ni kuwa taasisi ya familia inavunjwa vunjwa. Pia kuundwa kwa jinsia ya tatu. Imani itahama toka kumwabudu Mungu hadi kumuabudu binadamu, n.k.

Kwa trend iliyopo ni kuwa tunaishi katika dunia ambayo kwa asilimia kubwa tunaona au kusikia yanayotendeka. Tunaweza kuweka kumbukumbu kwa namna mbalimbali. Hata baada ya miaka 2000 kuanzia leo, vizazi vijavyo vitakuwa na access ya taarifa nyingi sana kama vile wanaangalia filamu. Hayo sisi hatukubahatika kuyaishi, ndio maana hadi leo bado suala la imani kwa mfano lina utata mwingi. Picha ya Yesu tu inatutoa jasho kama kweli tunazoona zinakaribiana na ufanano wa Yesu mwenyewe.

Hoja yangu ni kwamba, ukristu uliingia duniani miaka 2000 iliyopita. Kabla ya hapo hapakuwa na ukristu. Yapo mengi sana yalifanyika katika kuueneza ukristu. Ndipo tunasikia vita ya msalaba, yaani Crusade. Walioishi nyakati hizo wangekuwa na teknolojia hii tungeshangazwa na yaliyopita. Hatimaye ukristu upo.

Miaka 500 baadaye uislam ukaingia. Ukaenezwa kwa kila mbinu na mabavu na tukasikia kuhusu jihad. Watu wakafa, watu wakasaliti imani zao. Hatimaye uislam upo.

Ukapita muda mrefu zikaanza pilika za New world order na matao yake. Ndio leo tunasikia kuhusu LGBTQIA na shifa zake. Hii ajenda kwa sasa inapitishwa kulingana na wakati tuliopo. Muda ukifika ni wazi kuwa new world order nayo itashika hatamu. Haya yatatokea kwa kuwa hii ni dunia.

Tuliosoma historia tuliwashangaa sana kina Chief Mangungu kwa kurubuniwa kwa shanga na vioo. Miaka 500 mbele vizazi vijavyo vitashangaa ilikuwaje babu zao wakarubuniwa kwa kukopeshwa. Hatuyaoni haya kwa kuwa tuko ndani ya box. Tukishatiwa katika kapu la historia ndio itakuwa njia bora zaidi ya kujua ni nini kilitokea kipindi cha karne ya 21. Ni hayo tu
It's The Second Law of Thermodynamics.
 
Mada nzuri sana.
Kila jambo linalotokea lilishaandaliwa mahala fulani.

Hizi dini ikiwa ni sehemu ya yaliyopita kuanzia kwa ukristu, islam now haya mawengewenge yanayoendelea ni sehemu ya kile kilichoandaliwa na kusemwa huko nyuma.

Makelele na kupinga ni kwa muda tu, isitoshe kuna watakaokufa kutetea haya madudu now, ila kuna wale watakaokufa kwa kukosa chakula hao nao wanapinga hayo.

Mwisho hayo madudu yataenea na kuzoeleka kwenye daily life na maisha yataendelea.


Kwa wasomaji wa vitabu na mambo ya Imani wanasema; hayana budi kutokea ili kukamilisha unabii.
 
Kuhusu imani ya kuabudu tayari ipo on way, ulaya sasa hivi wanaabudu mpira kuliko Mungu, Viwanja vinajaza watu balaa, betting kila kona ya dunia ni kwa ajili ya mpira tu. Kwenye mpira sasa ajenda ya ushoga inapitishwa bila uficho, bendera ya ushoga inapeperushwa. Tusishangae ushoga ukawa unadhamini ligi kubwa kubwa duniani kama tu sasa upo bila uficho. Juzi kati kati kwenye kombe la dunia timu ya taifa la ujerumani ilizuiliwa kuingia nchini qatar yalikofanyika mashindano makubwa ya kombe la duni kwa kupeperusha bendera ya ushoga. Kuna riboni yenye rangi za ushoga wanaovaa mkononi makapteni wa timu za ulaya kwenye ligi zao. Halafu wapuuzi fulani wanajifanya hawaoni njama za kuenezwa ushoga duniani kupitia taasisi kubwa na muhimu. Mpango mpya wa ulimwengu upo mikononi mwa mashetani hayo, ukiwakwepa hapa wanakuibukia kule, walishafanikiwa kuua mila na desturi zetu wakapandikiza zao, sasa tunalia na kuambiana tuishi kwa mila zetu, ziko wapi mila zetu wakati walishazifuta kwa mikono yetu? Tukajiona tumeelimika
 
Kuhusu imani ya kuabudu tayari ipo on way, ulaya sasa hivi wanaabudu mpira kuliko Mungu, Viwanja vinajaza watu balaa, betting kila kona ya dunia ni kwa ajili ya mpira tu. Kwenye mpira sasa ajenda ya ushoga inapitishwa bila uficho, bendera ya ushoga inapeperushwa. Tusishangae ushoga ukawa unadhamini ligi kubwa kubwa duniani kama tu sasa upo bila uficho. Juzi kati kati kwenye kombe la dunia timu ya taifa la ujerumani ilizuiliwa kuingia nchini qatar yalikofanyika mashindano makubwa ya kombe la duni kwa kupeperusha bendera ya ushoga. Kuna riboni yenye rangi za ushoga wanaovaa mkononi makapteni wa timu za ulaya kwenye ligi zao. Halafu wapuuzi fulani wanajifanya hawaoni njama za kuenezwa ushoga duniani kupitia taasisi kubwa na muhimu. Mpango mpya wa ulimwengu upo mikononi mwa mashetani hayo, ukiwakwepa hapa wanakuibukia kule, walishafanikiwa kuua mila na desturi zetu wakapandikiza zao, sasa tunalia na kuambiana tuishi kwa mila zetu, ziko wapi mila zetu wakati walishazifuta kwa mikono yetu? Tukajiona tumeelimika
 
It's The Second Law of Thermodynamics.
Kwa faida ya wengi wetu; The Second Law of Thermodynamics states that the state of entropy (disorder) of the entire universe, as an isolated system, will always increase over time. The second law also states that the changes in the entropy in the universe can never be negative. Ref:
  • Konstantin Malley, Ravneet Singh (UCD), Tianyu Duan (UCD)
 
Mada nzuri sana.
Kila jambo linalotokea lilishaandaliwa mahala fulani.

Hizi dini ikiwa ni sehemu ya yaliyopita kuanzia kwa ukristu, islam now haya mawengewenge yanayoendelea ni sehemu ya kile kilichoandaliwa na kusemwa huko nyuma.

Makelele na kupinga ni kwa muda tu, isitoshe kuna watakaokufa kutetea haya madudu now, ila kuna wale watakaokufa kwa kukosa chakula hao nao wanapinga hayo.

Mwisho hayo madudu yataenea na kuzoeleka kwenye daily life na maisha yataendelea.


Kwa wasomaji wa vitabu na mambo ya Imani wanasema; hayana budi kutokea ili kukamilisha unabii.
Mwishowe asili itakamilika japo kwa kuchelewa.
 
Ulivyoiweka lgbtq+ kama mfululizo wa New World Order ndipo ulipolitia doa bandiko lako,
Kwa mifano uliyoitoa kuhusu Uikristo na Uislam nilitegemea kwa karne hii ungeiweka sayansi na teknolojia, kwa maana sayansi na teknolojia ndio vina run Dunia ya leo kiasi kwamba hata hizo dini zinaonekana ni masimulizi ya kale yaliyopitwa na wakati,

Sasa Lgbtq wana power gani kwenye ulimwengu huu hadi useme ni NWO? Ina maana hujui Lgbtq walikuwepo kabla ya hata hizo Dini mbili kuja? Kwenye hizo Dini si wameongelewa pia?

Tuleni sana mboga za majani na matunda tuachane na manyama nyama ili akili ziwe active.
 
Ulivyoiweka lgbtq+ kama mfululizo wa New World Order ndipo ulipolitia doa bandiko lako,
Kwa mifano uliyoitoa kuhusu Uikristo na Uislam nilitegemea kwa karne hii ungeiweka sayansi na teknolojia, kwa maana sayansi na teknolojia ndio vina run Dunia ya leo kiasi kwamba hata hizo dini zinaonekana ni masimulizi ya kale yalipitwa na wakati,

Sasa Lgbtq wana power gani kwenye ulimwengu huu hadi useme ni NWO? Ina maana hujui Lgbtq walikuwepo kabla ya hata hizo Dini mbili kuja? Kwenye hizo Dini si wameongelewa pia?

Tuleni sana mboga za majani na matunda tuachane na manyama nyama ili akili ziwe active.
Pengine umelala mkuu. Amka mapema kabla hujapitiwa na wimbi la mfadhaiko na madhaliliko. Chunga wanao. Wachunge sana (kama unao).
 
Ulivyoiweka lgbtq+ kama mfululizo wa New World Order ndipo ulipolitia doa bandiko lako,
Kwa mifano uliyoitoa kuhusu Uikristo na Uislam nilitegemea kwa karne hii ungeiweka sayansi na teknolojia, kwa maana sayansi na teknolojia ndio vina run Dunia ya leo kiasi kwamba hata hizo dini zinaonekana ni masimulizi ya kale yalipitwa na wakati,

Sasa Lgbtq wana power gani kwenye ulimwengu huu hadi useme ni NWO? Ina maana hujui Lgbtq walikuwepo kabla ya hata hizo Dini mbili kuja? Kwenye hizo Dini si wameongelewa pia?

Tuleni sana mboga za majani na matunda tuachane na manyama nyama ili akili ziwe active.
Beauty with Brain 🤩
 
Hata kwenye huu Uzi Kuna mashoga wamekomenti kukupinga Ili tu Uzi uonekane wa hovyo, ww Mzanzibar shoga tunakujua vizuri acha kuharibu Uzi.


Mm nikikutana na shoga makofi tu.
 
Dunia inapitia katika vipindi mbalimbali; Kuna jamii zilishape watu wake kwa kuweka adhabu kali sana za kuogofya kwa wale wote waliothibitika kufanya matukio ambayo jamii iliyakataa kama kuliwa na watu uliowakosea (cannibalism) kunyongwa, kuchinjwa hadharani, kutupwa kwenye mto wenye mamba huku watu wote wakimshuhudia tc lakini still hao watu waliendelea kuprevail katika vizazi na vizazi.
Zikaja Zama za dini ili kujenga upendo na kupunguza wingi wa machukizo mbele ya macho ya jamii na Mungu na sasa ni Zama za Sayansi na teknolojia. So Yale yote yanayohusiana katika kuamini uwezo wa binadamu katika kujiamulia na utendaji wake katika maisha ya kilasiku ndicho kinachopigiwa kelele sasa. Tutapinga lakini waeneza hizo ajenda wataendelea kuwepo na wengine wataongezeka na baadae zitafuata Zama gani huko mbeleni.
Yalishanenwa toka enzi na enzi, hayana budi kutokea na mengi yatafuata
 
Hata kwenye huu Uzi Kuna mashoga wamekomenti kukupinga Ili tu Uzi uonekane wa hovyo, ww Mzanzibar shoga tunakujua vizuri acha kuharibu Uzi.


Mm nikikutana na shoga makofi tu.
Duh! Kumbe... Bora umemueleza ukweli tu 😄
 
Dunia inapitia katika vipindi mbalimbali; Kuna jamii zilishape watu wake kwa kuweka adhabu kali sana za kuogofya kwa wale wote waliothibitika kufanya matukio ambayo jamii iliyakataa kama kuliwa na watu uliowakosea (cannibalism) kunyongwa, kuchinjwa hadharani, kutupwa kwenye mto wenye mamba huku watu wote wakimshuhudia tc lakini still hao watu waliendelea kuprevail katika vizazi na vizazi.
Zikaja Zama za dini ili kujenga upendo na kupunguza wingi wa machukizo mbele ya macho ya jamii na Mungu na sasa ni Zama za Sayansi na teknolojia. So Yale yote yanayohusiana katika kuamini uwezo wa binadamu katika kujiamulia na utendaji wake katika maisha ya kilasiku ndicho kinachopigiwa kelele sasa. Tutapinga lakini waeneza hizo ajenda wataendelea kuwepo na wengine wataongezeka na baadae zitafuata Zama gani huko mbeleni.
Yalishanenwa toka enzi na enzi, hayana budi kutokea na mengi yatafuata
Asante mkuu kwa kuweka hoja vyema. Zama za leo kwamba ni za sayansi na teknolojia na makandokando yake hayo ambapo new world order ndani yake ndipo tunapata hizi ajenda za uhuru juu ya mwili (my body my choice)
 
Wakuu nimekaa nikatafakari kiasi kuhusu mwenendo wa dunia yetu hii. Tunaishi kwa matukio. Dunia bila matukio, yawe mazuri au mabaya haijakamilika. Sasa wapo ambao wanatengeneza hayo matukio na wapo ambao wanaishi kulingana na hayo matukio. Wengi wetu tunaishi kulingana na matukio hayo. Wachache wao ndio hutengeneza matukio hayo. Mojawapo ni trend ya sasa ya uhuru wa kujiamulia hasa linapokuja suala la mwili wako.

Kwa uchache niliyoyasikiabtoka hiyo new order ni kuwa taasisi ya familia inavunjwa vunjwa. Pia kuundwa kwa jinsia ya tatu. Imani itahama toka kumwabudu Mungu hadi kumuabudu binadamu, n.k.

Kwa trend iliyopo ni kuwa tunaishi katika dunia ambayo kwa asilimia kubwa tunaona au kusikia yanayotendeka. Tunaweza kuweka kumbukumbu kwa namna mbalimbali. Hata baada ya miaka 2000 kuanzia leo, vizazi vijavyo vitakuwa na access ya taarifa nyingi sana kama vile wanaangalia filamu. Hayo sisi hatukubahatika kuyaishi, ndio maana hadi leo bado suala la imani kwa mfano lina utata mwingi. Picha ya Yesu tu inatutoa jasho kama kweli tunazoona zinakaribiana na ufanano wa Yesu mwenyewe.

Hoja yangu ni kwamba, ukristu uliingia duniani miaka 2000 iliyopita. Kabla ya hapo hapakuwa na ukristu. Yapo mengi sana yalifanyika katika kuueneza ukristu. Ndipo tunasikia vita ya msalaba, yaani Crusade. Walioishi nyakati hizo wangekuwa na teknolojia hii tungeshangazwa na yaliyopita. Hatimaye ukristu upo.

Miaka 500 baadaye uislam ukaingia. Ukaenezwa kwa kila mbinu na mabavu na tukasikia kuhusu jihad. Watu wakafa, watu wakasaliti imani zao. Hatimaye uislam upo.

Ukapita muda mrefu zikaanza pilika za New world order na matao yake. Ndio leo tunasikia kuhusu LGBTQIA na shifa zake. Hii ajenda kwa sasa inapitishwa kulingana na wakati tuliopo. Muda ukifika ni wazi kuwa new world order nayo itashika hatamu. Haya yatatokea kwa kuwa hii ni dunia.

Tuliosoma historia tuliwashangaa sana kina Chief Mangungu kwa kurubuniwa kwa shanga na vioo. Miaka 500 mbele vizazi vijavyo vitashangaa ilikuwaje babu zao wakarubuniwa kwa kukopeshwa. Hatuyaoni haya kwa kuwa tuko ndani ya box. Tukishatiwa katika kapu la historia ndio itakuwa njia bora zaidi ya kujua ni nini kilitokea kipindi cha karne ya 21. Ni hayo tu
Kuna hawa jamaa wanajiita the bilderberg group kama sikosei ni hatari kwa walimwengu na dunia
 
Back
Top Bottom