Dr Michael
Member
- Dec 28, 2014
- 30
- 14
hili swala la watumishi wa majeshi yetu kupewa amri ya kukusanya shahada zao za kupigia kura linatoa taswira gani katika uchaguzi huu wa oct2015????
uchaguzi ufanyike kwa haki na usawa na sio haya manyau nyau yanayoanza mapema kama ukishinda ushinde kwa haki na sio ushinde kwa mlango wa nyuma.
uchaguzi ufanyike kwa haki na usawa na sio haya manyau nyau yanayoanza mapema kama ukishinda ushinde kwa haki na sio ushinde kwa mlango wa nyuma.