New new new read

New new new read

Dr Michael

Member
Joined
Dec 28, 2014
Posts
30
Reaction score
14
hili swala la watumishi wa majeshi yetu kupewa amri ya kukusanya shahada zao za kupigia kura linatoa taswira gani katika uchaguzi huu wa oct2015????
uchaguzi ufanyike kwa haki na usawa na sio haya manyau nyau yanayoanza mapema kama ukishinda ushinde kwa haki na sio ushinde kwa mlango wa nyuma.
 
Hao polisi walivyo mazezeta wanaichagua CCM wakati wao wana maisha magumu hivyo?
 
kuna uchafu mwingi unakuja juu ya kuupa ushindi CCM
lowasa atupatie njia za wizi ccm ili tuzibomoe mapema. kupambana na adui unayemfahamu hadi chumbani kwake ni raha sana.
 
Hao polisi walivyo mazezeta wanaichagua CCM wakati wao wana maisha magumu hivyo?

Rushwa na ukandamizaji ndiyo mfumo unaowabeba ila hawawezi kuishinda nguvu ya umma.

Wanafikiri watabaki kwenye mfumo huohuo kumbe ni ngumu
 
hili swala la watumishi wa majeshi yetu kupewa amri ya kukusanya shahada zao za kupigia kura linatoa taswira gani katika uchaguzi huu wa oct2015????
uchaguzi ufanyike kwa haki na usawa na sio haya manyau nyau yanayoanza mapema kama ukishinda ushinde kwa haki na sio ushinde kwa mlango wa nyuma.

Lisikusumbue hilo idadi yao aizidi laki moja
 
Kuna wakati ondoa hofu kama unapata wasaa na kuongea na wajeda hao, utagundua kwa nini vinakusanywa.
hili swala la watumishi wa majeshi yetu kupewa amri ya kukusanya shahada zao za kupigia kura linatoa taswira gani katika uchaguzi huu wa oct2015????
uchaguzi ufanyike kwa haki na usawa na sio haya manyau nyau yanayoanza mapema kama ukishinda ushinde kwa haki na sio ushinde kwa mlango wa nyuma.
Labda kuna hili hapa, mbali na wajeda kutoruhusiwa kuwa wanachama wa chama chochote cha siasa, lkn wao kama raia wema la Mama Tanzania, wanaona na kuangalia kila kinachofanyika ktk ardhi hii, hivyo na wao wanachoka kwa manyanyaso na inavoonekana wakubwa wamepata taarifa za wajeda kutaka mabadiriko hivo kupelekea kuwanyang'anya hizo ID.
 
hili swala la watumishi wa majeshi yetu kupewa amri ya kukusanya shahada zao za kupigia kura linatoa taswira gani katika uchaguzi huu wa oct2015????
uchaguzi ufanyike kwa haki na usawa na sio haya manyau nyau yanayoanza mapema kama ukishinda ushinde kwa haki na sio ushinde kwa mlango wa nyuma.

USIWE na WASIWASI mwisho wao umefika...wananchi woooote tumejitambua.....


Tangu uhuru chama tawala ni CCM....rushwa...CCM....Uchumi tegemezi...CCM...ujinga...CCM...maradhi...CCM....umaskini....CCM....ushirikina....CCM...magoli ya mkono kwenye soka....CCM....ubadhilifu na ufisadi woooote ni mazao ya utawala dhalimu wa chama cha mapinduzi...kila kitu wamepindua..elimu..kilimo...ardhi...masoko...viwanda...maadili...hakika october 25 mwaka huu ni maamuzi watakayofanya watanzania yatawashangaza wengi CCM jiandaeni kosaikolojia..... viva UKAWA viva...Lowassa!!!
 
Kwa wapenda mabadiliko hili haliwezi fumbiwa macho. Lazima serikali iseme kwa nini inakusanya taarifa za vitambulisho, viongozi ukawa amkeni
 
Liwike lisiwike kutakucha tu, come October 25.
 
...si hivyo tu bali wengine wamepelekwa pemba ili kuboost idadi ya kura za ccm kule visiwani...
 
Idadi ya Polisi + JESHI is roughly 161,000 hv nchi nzima... so hata wakiiba hiyo, CCM hawatatoka mwaka huu...ila hilo ni ngumu sana sanaaaa...

Ktk majeshi kuna wana vyama wa vyama mbali mbali, most are UKAWA... so sio rahisi kabisa...uwizi wa hivyo sio rahisi...
 
Back
Top Bottom