Umesema kweli Mkuu. NOIDA SECTOR 62 pia lilikuwa chimbo langu la kusocialize na wabongoAnglijie tarun dukan kahe? English wine shop hazipatikani kirahisi ila ukiingia Parika Bazar halufu za UDI ni zaidi ya kuvuta bange!
Larlikie kibao kaka sema tena ukiwa mmatumbi wanashoboka kinouma Nouma na kuanzia 50 rupie.
Nyongeza Delhi wanavyuo vingi sana ukienda Noida hutoamini jinsi wadosi wasivyotania katika Elimu.
Kibongo bongo ni kama sh ngap?Inauzwa 13000 - 13500 Indian Rupees tu!
Sent from my HTC Desire 820G PLUS dual sim using JamiiForums mobile app
Approximately kama 390,000 tu lakini maduka ya Dsm wana top up Kama 100,000 hivi.Ni sawa na pesa ngapi ya madafu .....??
Hey byaa kiawaa!!ye achae baria hindustan..mkuu parika bazar under graund shops si mchezo..Anglijie tarun dukan kahe? English wine shop hazipatikani kirahisi ila ukiingia Parika Bazar halufu za UDI ni zaidi ya kuvuta bange!
Larlikie kibao kaka sema tena ukiwa mmatumbi wanashoboka kinouma Nouma na kuanzia 50 rupie.
Nyongeza Delhi wanavyuo vingi sana ukienda Noida hutoamini jinsi wadosi wasivyotania katika Elimu.
Namaste baiyaa, hongera mkuu ulibahatika kukamatia vipi WAPOPO walimwacha kweli.Haaa. Haa. Haaa. Haaa. Namaste. Wewe jamaa noma sana. Eeeh bana Mimi sikuwa member GB Rd, nilibahatika kupata mtoto wa Kinamibia class, basi maisha yakawa murua.
Sent from my HTC Desire 820G PLUS dual sim using JamiiForums mobile app
Hahahahahaha hii ya Papuchi nahic Dada zetu ndio wanapenda wageni zaidi kuliko sisi wazawa wenzao
mkuu especialy Greater Noida pia wana appartments nyingi sana, asee wewe umeishi Delhi miaka ipi mkuu ? mimi nilikaa Hauz Khas, Padmini Enclave , hata Noida nimeishiAnglijie tarun dukan kahe? English wine shop hazipatikani kirahisi ila ukiingia Parika Bazar halufu za UDI ni zaidi ya kuvuta bange!
Larlikie kibao kaka sema tena ukiwa mmatumbi wanashoboka kinouma Nouma na kuanzia 50 rupie.
Nyongeza Delhi wanavyuo vingi sana ukienda Noida hutoamini jinsi wadosi wasivyotania katika Elimu.
Hahahahaha GB road kaka siku ya kwanza sijatimba mshikaj wangu mmoja alikuwa anasoma Punjab , mji wa Chandighar akaniambia hapo kuna watoto wengi paka wakichina kinepal, nikawa navuta picha itakuwa bonge la sehemu , nikachukua Rickshaw nilikuwa mitaa ya Rajiv Chowk usiku nakula mtungi, kwenda pale kujionea hayo mazingira balaa, kwenye ngazi unapishana na watu mia wanapanda mia wanashuka, uwanja wa fisi unasubiri, unagonga ishu kwenye vitanda vya chaga tupu, paka msuli ukanikamata , bei ni rupee 500 tu ilikuwa, what an experience , mimi nahisi nyumba ilikuwa 60 fulani mayb au 70 aswellMkuu hapo GB ROAD nishatimba sana enzi zangu kwa miaka mitatu kufuata PAPUCHI YA KIHINDI- nilikuwa naingia namba 72 kwa jamii ya wanepal hivi, we mkuu ulikuwa na koloni room namba ngapi..tukumbushane bwa Shekhe..
Maleta. Jamaa angu kutoka Malawi, alikuwa anasoma Chennai, alikuwa akija likizo kwa ndg zake wa Malawi Embassy, ndio alikuwa akipenda sana safari za GB Road, basi na mimi ndio hapo nikaijua vizuri!hahah
ahahahaha GB road kaka siku ya kwanza sijatimba mshikaj wangu mmoja alikuwa anasoma Punjab , mji wa Chandighar akaniambia hapo kuna watoto wengi paka wakichina kinepal, nikawa navuta picha itakuwa bonge la sehemu , nikachukua Rickshaw nilikuwa mitaa ya Rajiv Chowk usiku nakula mtungi, kwenda pale kujionea hayo mazingira balaa, kwenye ngazi unapishana na watu mia wanapanda mia wanashuka, uwanja wa fisi unasubiri, unagonga ishu kwenye vitanda vya chaga tupu, paka msuli ukanikamata , bei ni rupee 500 tu ilikuwa, what an experience , mimi nahisi nyumba ilikuwa 60 fulani mayb au 70 aswell
Mmh ila hta hpa bongo hindi na china yataka moyo aisee kujiachia naoSwali zuri sana.
Yes most of them ukiwachokoza.. Ila Indians weng wanawaogopa NigeriansMkuu mi niliishi New Delhi. Kiukweli pale rate ya ubaguzi ipo chini kwa mtazamo wangu.
Wahindi wana chuki na ngozi nyeusi lakini ni mpk uwachokoze, mf kuchukua demu wa kihindi wao wanahesabu ni uchokozi na kamwe hautabaki salama.
Nimesoma nao darasa 1, nimepanda nao Bajaj, nimesafiri kwa Delhi Metro tena tunapanda kwa kugombania, si asubuhi, si jioni, ukibahatika siti unakaa, muhindi anasimama na sio kesi!
Kunyimwa papuchi Mweusi hata kama una hela, pia ni ubaguzi!
Sent from my HTC Desire 820G PLUS dual sim using JamiiForums mobile app