Mkuu ukipigia gharama ya 500,000 kwa kibanda nadhani utakuwa umejisaulisha gharama za ujenzi au umeamua kudharau.
Mfano; 1. tofali za watu wa kawaida kama sisi ni 800 - 1,000 @ jiulize kibanda kinachukua tofali ngapi na shimo la choo tu kwingine makuti.
2. Cement & mchanga + labour power
AMKA.