zagarinojo
JF-Expert Member
- Jul 26, 2020
- 2,622
- 2,835
Hey MMU users! Nafikiria wale new couples kwenye relationship huwa wanakuwa na changamoto gani kwenye kuanza family mpya na kuzoeana kuwa kweli wife and husband...
Mapenzi hua sijui yananoga nadhani hayabadiliki mambo hata wakipata watoto au wakishapata watoto inakuwa tofauti au yanabaki vilevile
Unakuta bado wanajiona watoto bado wanadekezana.
Wanajiona pekee yao duniani
Mapenzi hua sijui yananoga nadhani hayabadiliki mambo hata wakipata watoto au wakishapata watoto inakuwa tofauti au yanabaki vilevile
Unakuta bado wanajiona watoto bado wanadekezana.
Wanajiona pekee yao duniani