New business ideas

Mhigomkami

JF-Expert Member
Oct 21, 2009
858
508
jamani, mwaka unaisha huu na mawazo yanaanza kufifia kwani kichwa kimechoka balaa. Naombeni kwa mwenya wazo jipya la biashara animwagie kwa kuanza mwaka 2012 na mpya tafadhali.....
 
Kunakitu tunashindwa kuelewa kuhusu Aidia ya Biashara.

- Mkuu wazo la biashara lilo bora kabisa linatokana na wewe mwenyewe, Wazo la biashara si kitu cha mchezo, si kitu simple

- Sijajua wewe unania ya kuanzisha biashara aula,

- Mkuu kuna njia nyingi sana za kutafuta wazola biashara,

1. Kusafiri mara kwa mara

2, Soma magazeti kwa wingi hasa hasa yenyemakala za uchumi, kule utakuna na mambo mengi sana kuna opportunity nyingi sanana kupitia zile opportunity unagenerate Aidia

3. Soma Vitabu vyenye muelekeo wa biashara

4. Angalia television hasa kwenye vipind vyenyemuelekeo wa uchumi na baishara

5. Mitandao ya interenet hapo unaweza kutana navitu ukaunganisha ukaja na Aidia ya kufa mtu

6. Kuna Organization nyingi sana duniani huwazinaratibu Business planing competiotion hapo utakutana na kitu

WAZO LA BIASHARA LINA HITAJI KUUMIZA KICHWASANA, LAZIMA UWE NA MAONO

 
Kunakitu tunashindwa kuelewa kuhusu Aidia ya Biashara.

- Mkuu wazo la biashara lilo bora kabisa linatokana na wewe mwenyewe, Wazo la biashara si kitu cha mchezo, si kitu simple

- Sijajua wewe unania ya kuanzisha biashara aula,

- Mkuu kuna njia nyingi sana za kutafuta wazola biashara,

1. Kusafiri mara kwa mara

2, Soma magazeti kwa wingi hasa hasa yenyemakala za uchumi, kule utakuna na mambo mengi sana kuna opportunity nyingi sanana kupitia zile opportunity unagenerate Aidia

3. Soma Vitabu vyenye muelekeo wa biashara

4. Angalia television hasa kwenye vipind vyenyemuelekeo wa uchumi na baishara

5. Mitandao ya interenet hapo unaweza kutana navitu ukaunganisha ukaja na Aidia ya kufa mtu

6. Kuna Organization nyingi sana duniani huwazinaratibu Business planing competiotion hapo utakutana na kitu

WAZO LA BIASHARA LINA HITAJI KUUMIZA KICHWASANA, LAZIMA UWE NA MAONO


kijana komando upo juu.
Mwambie atembelee na blog yetu akasome kule anaweza kupata wazo jipya.
 
Start with your daily life/routine and come up with something.

But the basic start up for any business is Problem/Solution approach. Try to solve a problem that you see everyday in your life and other people lives. If somebody else is doing already, can you do better than them?

Take that approach and I am sure you will come up with a million ideas.

I like the "owning a business" spirit.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom