Unaongea kuhusu new age and yet unasema chanzo chake ni ubudha na uhindu na chinese traditionsUpo sahihi Kabisa. Naweza nikakuthibitishia. But kuwa na Subira Kidogo but endelea pitia pitia imani za waamini masanamu kama Buthist au Wahindi utaelewa nilicho kiandika. Nasubiri maoni ya New agers ili ni update uzi with proof.
Sent using Jamii Forums mobile app
Jamaa maisha yao wanafocus kwenye maisha baada ya kifoBinaadam ni mwoga wa kujijua na kitendo cha kutaka kuvunja minyororo ya mapokeo na ku kuikumbatia hatima yake ni vitu vinavyo mshtua sana, na hasa kutokujua uwezo tulionao ndo tumefikia kuziweka nguvu zetu kwa watu na vitabu
Na labda hao watu ‘mitume’ wanashangaa tulivyo ziacha nguvu tulizonazo
Hii misemo ‘tuumbe mtu kwa mfano wetu ‘ ama kwa mweye imani anaweza kuuamrisha mlima na ukahama ‘ ni misemo ya kutuonyesha nguvu tulizo nazo ‘but we scared to face our own nature ‘
Hii ni ‘Enlighten age’ mkuu wanaoweza kujua na kufunuliwa wanatawala mazingira haya na wanakamilisha msemo ‘ binaadam ni mtawala wa ulimwengu ‘ na any fate ipo mikononi kwetu
Sorry kwa uandishi wangu
Be blessed
Mind, Body and Spirit. Ukishafahamu vitu hivi 3 utafahamu/utagundua kitu kimoja cha Mana Sana kuliko meditation na hadaa nyingine. Ukisha fahamu kitu hicho,Jamaa maisha yao wanafocus kwenye maisha baada ya kifo
Ni upumbavu kuwaza kuhusu maisha baada ya kifo and yet you are not utilizing ur current self
Napenda sana kuchanganya vitabu vya dini, na ku get the Best of all religions
Biblia kuna mahali Yesu anaongea kuhusu kusumbuka kwa habari za utakula nini kesho, utalala wap, wakat hata ukijisumbua kias gan hauwez kuongeza hata unywele mmoja.
Ni Maneno machache lakin yana ujumbe mpana sana
Watu ambao walikaa kwenye ulimwengu wa kwanza (tumbon mwa mama zao) kwa miez 9, hawakuwa wanajua lolote kuhusu ulimwengu ujao
Wamezaliwa, wako kwenye ulimwengu huu wa kati, ndo wanajifanya wanajua sana vitu vya kufanya ili wawe na maisha bora baada ya kifo.
Ni ubatili mtupu na kujilisha upepo
Maisha yamegawanyika hatua 3.
1.Maisha kabla ya kuzaliwa
2.Maisha baada ya kuzaliwa
3.Maisha baada ya kifo.
Kila maisha yanajitegemea, na yana ulimwengu wake, Kuna kutegemeana lakini kama ambavyo Mimba haiwez amua ifanyaje ili iwe na maisha mazur baada ya kuzaliwa ndivyo ambavyo wewe na mimi hatuwez fanya lolote kudetermine ubora wa maisha baada ya kifo.
Dini nyingi zimebase katika kumuandaa mtu na life after death na yet hakuna Base za kumfanya mtu aishi to the maximum
Sent using Jamii Forums mobile app
Unamaanisha kuwa shetani hapo ni huyo BWANA ...au ni mleta uzi??Hakuna shetani wacha urongo_Unashukuru kama una uhakika na ulichomezeshwa
Shetani wa kwanza ni huyo unayemshukuru kuwa yupo pamoja na wewe_halafu hujui
ManchoG
...jukwaa la "Shule ya Mafanikio".. huko ndio uliko _ copy na kupastiNi woga tu.
Adui mkubwa ktk dini ni Shetani,kusema ukweli ni rahisi muungano wa nchi na nchi kutokea lakini sio muungano wa dini na dini
Aidha ni rahisi maridhiano ya kisiasa kufanyika lakini maridhiano ya kidini ni jambo ambalo sio rahisi kutokea
Sio rahisi kwa sababu kwa kufanya hivyo,watakuwa wametenda dhambi na na kufanya maridhiano na Shetani
Kila dini inaona wenzao kama ndio wafuasi wa Shetani,
Ukweli ni kwamba hakuna kiumbe anayeitwa Shetani au Ibilisi bali kuna nature ya binadamu. Binadamu anaweza kuwa Shetani au Mungu. Hizo zote mbili ni sifa za binadamu. Lower self and higher self.
Hakuna mahali panaitwa motoni au mbinguni,hizo ni hali za akili ya binadamu. Binadamu anaweza kuishi motoni kwa hali yake ya akili au kuishi peponi kwa hali yake ya akili,yaani moto au pepo unaziumba wewe mwenyewe akilini,ukiishi maisha ya kujiumiza uko motoni na ukiishi maisha ya furaha yanayopatana na kanuni 16 za maumbile basi uko peponi.
Mazoezi kama Astral projection, Levitation ni nguvu za ziada
Roho ya mwanadamu ambayo inaishi ndani ya mwili wote inao uwezo wa kuacha mwili bila ya kufa,na hii hutokea pale ambapo roho inapokuwa imagain energy kubwa ya cosmic energy ( nguvu kuu),na hapo kwa mara ya kwanza binadamu huweza kujigundua kwamba yeye sio mwili huu,bali anaishi ktk mwili huu.
Levitation ni nguvu mojawapo ya nguvu za ziada,watu maarufu ktk Biblia kama Yesu,Philipo,Eliya,Paulo walielea angani au walitoka nje ya mwili.
Sent using Jamii Forums mobile app
Namaanisha huyo huyo anayeitwa BWANA_ambaye wakati anaumba hakuwa na mshauri yeyote
Hahahaha ,aseeNamaanisha huyo huyo anayeitwa BWANA_ambaye wakati anaumba hakuwa na mshauri yeyote
Yeye bila shaka ndiye shetani mkuu huyo mwengine geresha tu_umenipata..?
ManchoG
Paragraph ys kwanza na hiyo ya pili umetema madini sanaMungu aliye hai yupi? Yeye alitokea wapi, kwani kuna wengine waliokufa?
Ni dini gani inakupeleka kwa huyu Mungu aliye hai wakati yeye mwenyewe hakuna dini aliyoshusha kutoka ili tuiabudu.
Ni hukumu gani atatupa sisi tuliokengeuka na kukataa kanisa na misikiti. Wanasema tutachomwa moto milele, kuna moto gani unaweza kuchoma roho?
Unasema hii dini mpya asili yake ni shetani inatupeleka mbali na Mungu, kwani hujui kuwa siku nyingi tuko mbali na mungu shetani ndiye mtawala wa hii dunia? Jehova na kina Alah washaiacha siku nyingi hii dunia wako huko kwenye solar system ingine na shughuli zao.
Kwanini huyu Mungu aliyetuumba atupe akili ndogo kiasi kwamba tushindwe kujua chanzo chake yeye au mwanzo wake maana kwa akili alizotupa tunajua hakuna kiti kisicho na mwanzo wala mwisho, je mwisho wake yeye ukifika sisi viumbe alivyotuumba tutakuwaje ?
Dini zinatuambia kua baada ya kichapo kutembea huko juu shetani alishushwa duniani, ila hakuna mahali wamesema yuko nchi gani au bara gani. Hizi dini zina blah blah nyingi sana na ndio maana ili kuzielewa lazima uwe na hofuHe doesn't exit, show me where is he living, coz I have been trying to meet him, it's neither pastors or mosque leaders wamewahi kujua anapokaa, ni propaganda tuu,
Nipeleke kwa shetani hata leo, natamani sana kuonana naye
Sent using Jamii Forums mobile app
Kabisa! Wanahisi wapo sahihi kumbe ya Mungu mengi.
Jamaa maisha yao wanafocus kwenye maisha baada ya kifo
Ni upumbavu kuwaza kuhusu maisha baada ya kifo and yet you are not utilizing ur current self
Napenda sana kuchanganya vitabu vya dini, na ku get the Best of all religions
Biblia kuna mahali Yesu anaongea kuhusu kusumbuka kwa habari za utakula nini kesho, utalala wap, wakat hata ukijisumbua kias gan hauwez kuongeza hata unywele mmoja.
Ni Maneno machache lakin yana ujumbe mpana sana
Watu ambao walikaa kwenye ulimwengu wa kwanza (tumbon mwa mama zao) kwa miez 9, hawakuwa wanajua lolote kuhusu ulimwengu ujao
Wamezaliwa, wako kwenye ulimwengu huu wa kati, ndo wanajifanya wanajua sana vitu vya kufanya ili wawe na maisha bora baada ya kifo.
Ni ubatili mtupu na kujilisha upepo
Maisha yamegawanyika hatua 3.
1.Maisha kabla ya kuzaliwa
2.Maisha baada ya kuzaliwa
3.Maisha baada ya kifo.
Kila maisha yanajitegemea, na yana ulimwengu wake, Kuna kutegemeana lakini kama ambavyo Mimba haiwez amua ifanyaje ili iwe na maisha mazur baada ya kuzaliwa ndivyo ambavyo wewe na mimi hatuwez fanya lolote kudetermine ubora wa maisha baada ya kifo.
Dini nyingi zimebase katika kumuandaa mtu na life after death na yet hakuna Base za kumfanya mtu aishi to the maximum
Sent using Jamii Forums mobile app
Bado hujajibu swali langu ....
mkuu unatamani sana kumwona brooooooHe doesn't exit, show me where is he living, coz I have been trying to meet him, it's neither pastors or mosque leaders wamewahi kujua anapokaa, ni propaganda tuu,
Nipeleke kwa shetani hata leo, natamani sana kuonana naye
Sent using Jamii Forums mobile app
Upo sahihi, ndiyo nimezisoma vitabu vyote Viwili. kumanisha Biblia na Quran nimesoma pia vitabu vingine.Hvi, hizo dini ulizozitaja kuwa kiini chake ni shetani umewahi kuzisoma hizo dini ukajua mafundisho yake vizuri au ni hearsay? Unaweza ukahisi wenzako na dini zao ni mashetani kumbe mambo yakawa kinyume.
Kuhusu mambo ya cults naweza kukubaliana na wewe. Lakini ulipotaja Buddhism na Hindu etc hapo ndo ninapo pingana na wewe. Hizi dini kazisome vizuri sio za kishetani kama ulivosema.Upo sahihi, ndiyo nimezisoma vitabu vyote Viwili. kumanisha Biblia na Quran nimesoma pia vitabu vingine.
Vitabu ambavyo nimevisoma ni pamoja na vitabu vya wicca, voodoism, magic in theory and Practice by Alister Crawley na vingine vya Occult na ne age.
Vitabu vya uikristo na uilsmam nkimanisha bible/quran naweza kusema are the books of Law or kwa maana nyingine ni vitabu vya falsafa zinazo jikita kwenye maisha chanya ya mwanadamu na mzizi wake mkubwa ni imani (faith) na ujumbe wao umefanana sana sema moja ipo kiarabu watu hawajui kutafsiri zile dua. Na hakuna masharti kwamba ukitaka kitu flani lazima ufanye au utoe kitu flani. Ww pray and have faith and words will manifest into things.
Nipo proud kuamini vitabu hivo at least simjui aliye viandika. Sijawahi kumuona kwa sura ila nimevikuta. Kwa hiyo siwezi kuwa nina uhakika wa mawazo yangu pale ninapokosoa vitabu hivi.
Kwa upande wa vitabu vya new age naweza kuwa na uhakika wa kuvikosoa kwa kuwa vimeandikwa na wanadamu katika zama zetu na walioandika vitabu hivo falsafa zao za kiuandishi zinajulikana kuwa wame base kwenye 3,6 and 9 ( kama umenielewa chagua namba). Vitabu vya occult na New age vilianza kuvuma baada ya society moja inayoitwa Theosophical Society ambao ni watu kama helena blavatsky miaka ya 1800.
New age ilishika kasi miaka ya 1960 na kuendelea ambapo watu maarufu katika historia kama Jim Jones walijihusisha na movement hiyo na kutoa mamia ya watu kafara.
James Warren Jones (May 13, 1931 – November 18, 1978) was an Americanreligious cult leader who, along with his inner circle, initiated and was responsible for a mass suicide and mass murder in Jonestown, Guyana.
By the early 1970s, Jones began deriding traditional Christianity as "fly away religion", rejecting the Bible as being a tool to oppress women and non-whites, and denouncing a "Sky God" who was no God at all. Jones wrote a booklet titled "The Letter Killeth", criticizing the King James Bible.
Jones also began preaching that he was the reincarnation of Gandhi, Father Divine, Jesus, Gautama Buddha, and Vladimir Lenin. Former Temple member Hue Fortson, Jr. quoted Jones as saying, "What you need to believe in is what you can see ... If you see me as your friend, I'll be your friend. As you see me as your father, I'll be your father, for those of you that don't have a father ... If you see me as your savior, I'll be your savior. If you see me as your God, I'll be your God."
Source Jim Jones Wikipedia.
Deep meditation iliwafanya mapepo wachafu waingie kwao na wakaanza kujiona wao ndo mungu/yesu kwamba wao ndo kama manabii flani.
Nikisema dini hii ni ya kishetani nina uhakika kwani waanzilishi wake maarufu ni occult members na hamna siri.
Kwa upande wa wakristo na waslam wajue kuwa mfumo wa uongozi wa dini hizi upo kama pyramid au pembe tatu. Wengi waliochini ni waumini hawajui makanisa na miskik kwa undani, wao waumini wanafanya zao ibada na kirudi nyumbani. Ila usiamini katika alama za nyota mwezi msalaba etc wewe amini tu neno/ ujumbe. Statues and symbols achana nazo.
Sent using Jamii Forums mobile app