New Age: Dini mpya ya ulimwengu

Unaongea kuhusu new age and yet unasema chanzo chake ni ubudha na uhindu na chinese traditions

Unajua how old are those civilization?

How old are the Christian and islamic religion?


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Jamaa maisha yao wanafocus kwenye maisha baada ya kifo

Ni upumbavu kuwaza kuhusu maisha baada ya kifo and yet you are not utilizing ur current self

Napenda sana kuchanganya vitabu vya dini, na ku get the Best of all religions

Biblia kuna mahali Yesu anaongea kuhusu kusumbuka kwa habari za utakula nini kesho, utalala wap, wakat hata ukijisumbua kias gan hauwez kuongeza hata unywele mmoja.

Ni Maneno machache lakin yana ujumbe mpana sana

Watu ambao walikaa kwenye ulimwengu wa kwanza (tumbon mwa mama zao) kwa miez 9, hawakuwa wanajua lolote kuhusu ulimwengu ujao

Wamezaliwa, wako kwenye ulimwengu huu wa kati, ndo wanajifanya wanajua sana vitu vya kufanya ili wawe na maisha bora baada ya kifo.

Ni ubatili mtupu na kujilisha upepo

Maisha yamegawanyika hatua 3.


1.Maisha kabla ya kuzaliwa

2.Maisha baada ya kuzaliwa

3.Maisha baada ya kifo.

Kila maisha yanajitegemea, na yana ulimwengu wake, Kuna kutegemeana lakini kama ambavyo Mimba haiwez amua ifanyaje ili iwe na maisha mazur baada ya kuzaliwa ndivyo ambavyo wewe na mimi hatuwez fanya lolote kudetermine ubora wa maisha baada ya kifo.

Dini nyingi zimebase katika kumuandaa mtu na life after death na yet hakuna Base za kumfanya mtu aishi to the maximum

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mind, Body and Spirit. Ukishafahamu vitu hivi 3 utafahamu/utagundua kitu kimoja cha Mana Sana kuliko meditation na hadaa nyingine. Ukisha fahamu kitu hicho,

Jifunze tena kuhusiana na Vitu 3 vingine Energy, Frequency and Vibration.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
...jukwaa la "Shule ya Mafanikio".. huko ndio uliko _ copy na kupasti

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Paragraph ys kwanza na hiyo ya pili umetema madini sana

Sent using unknown device
 
Dini zinatuambia kua baada ya kichapo kutembea huko juu shetani alishushwa duniani, ila hakuna mahali wamesema yuko nchi gani au bara gani. Hizi dini zina blah blah nyingi sana na ndio maana ili kuzielewa lazima uwe na hofu

Sent using unknown device
 

Maisha yana hatua nne.
 
Hvi, hizo dini ulizozitaja kuwa kiini chake ni shetani umewahi kuzisoma hizo dini ukajua mafundisho yake vizuri au ni hearsay? Unaweza ukahisi wenzako na dini zao ni mashetani kumbe mambo yakawa kinyume.
Upo sahihi, ndiyo nimezisoma vitabu vyote Viwili. kumanisha Biblia na Quran nimesoma pia vitabu vingine.

Vitabu ambavyo nimevisoma ni pamoja na vitabu vya wicca, voodoism, magic in theory and Practice by Alister Crawley na vingine vya Occult na ne age.

Vitabu vya uikristo na uilsmam nkimanisha bible/quran naweza kusema are the books of Law or kwa maana nyingine ni vitabu vya falsafa zinazo jikita kwenye maisha chanya ya mwanadamu na mzizi wake mkubwa ni imani (faith) na ujumbe wao umefanana sana sema moja ipo kiarabu watu hawajui kutafsiri zile dua. Na hakuna masharti kwamba ukitaka kitu flani lazima ufanye au utoe kitu flani. Ww pray and have faith and words will manifest into things.

Nipo proud kuamini vitabu hivo at least simjui aliye viandika. Sijawahi kumuona kwa sura ila nimevikuta. Kwa hiyo siwezi kuwa nina uhakika wa mawazo yangu pale ninapokosoa vitabu hivi.

Kwa upande wa vitabu vya new age naweza kuwa na uhakika wa kuvikosoa kwa kuwa vimeandikwa na wanadamu katika zama zetu na walioandika vitabu hivo falsafa zao za kiuandishi zinajulikana kuwa wame base kwenye 3,6 and 9 ( kama umenielewa chagua namba). Vitabu vya occult na New age vilianza kuvuma baada ya society moja inayoitwa Theosophical Society ambao ni watu kama helena blavatsky miaka ya 1800.

New age ilishika kasi miaka ya 1960 na kuendelea ambapo watu maarufu katika historia kama Jim Jones walijihusisha na movement hiyo na kutoa mamia ya watu kafara.


James Warren Jones (May 13, 1931 – November 18, 1978) was an Americanreligious cult leader who, along with his inner circle, initiated and was responsible for a mass suicide and mass murder in Jonestown, Guyana.

By the early 1970s, Jones began deriding traditional Christianity as "fly away religion", rejecting the Bible as being a tool to oppress women and non-whites, and denouncing a "Sky God" who was no God at all. Jones wrote a booklet titled "The Letter Killeth", criticizing the King James Bible.

Jones also began preaching that he was the reincarnation of Gandhi, Father Divine, Jesus, Gautama Buddha, and Vladimir Lenin. Former Temple member Hue Fortson, Jr. quoted Jones as saying, "What you need to believe in is what you can see ... If you see me as your friend, I'll be your friend. As you see me as your father, I'll be your father, for those of you that don't have a father ... If you see me as your savior, I'll be your savior. If you see me as your God, I'll be your God."

Source Jim Jones Wikipedia.

Deep meditation iliwafanya mapepo wachafu waingie kwao na wakaanza kujiona wao ndo mungu/yesu kwamba wao ndo kama manabii flani.

Nikisema dini hii ni ya kishetani nina uhakika kwani waanzilishi wake maarufu ni occult members na hamna siri.

Kwa upande wa wakristo na waslam wajue kuwa mfumo wa uongozi wa dini hizi upo kama pyramid au pembe tatu. Wengi waliochini ni waumini hawajui makanisa na miskik kwa undani, wao waumini wanafanya zao ibada na kirudi nyumbani. Ila usiamini katika alama za nyota mwezi msalaba etc wewe amini tu neno/ ujumbe. Statues and symbols achana nazo.




Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuhusu mambo ya cults naweza kukubaliana na wewe. Lakini ulipotaja Buddhism na Hindu etc hapo ndo ninapo pingana na wewe. Hizi dini kazisome vizuri sio za kishetani kama ulivosema.
Na kuhusu Biblia na Quran kuwa ni 100% chanya kwa binadamu sio kweli kwasababu vinasababisha sana migogoro na vurugu zisizo na msingi.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…