Neves say Never

Sawa, nakutakia mapenzi mema, kuwa mvumilivu, Ukiheshimu hisia za mwenzi wako na ukawa unajali za kwako, itakusaidia kukufanya uwe na tumaini chanya wakati wote. Wakati wa matatizo, hasa kipindi ambacho hampo kwenye maelewano mazuri, utabaki na imani kwamba yote yatakwisha.

Penda kuamini kuwa “hili nalo litapita” kwamba wakati ambao mwenzi wako amenuna, hataki kuzungumza na wewe, unachopaswa kufanya ni kuheshimu hisia zake na uamini kwamba mwisho atatulia na uhusiano wenu utaendelea kwa maelewano makubwa.

Ukitaka kulazimisha awe mchangamfu kwako kipindi ambacho amenuna, ni sawa na kukaribisha matatizo zaidi. Ni vema kuelewana, watu wengi wanakosea katika uhusiano wao kwa sababu hawatumii busara ili kuwawaelewa wenzi wao pindi wanapoonesha hali tofauti.

Busara iendelee kuchukua nafasi. Maneno “hili nalo litapita” liwe somo kwako. Kwamba leo umerudi nyumbani, umetaka chakula cha faragha, mwenzako amekwambia hajisikii vizuri. Hutakiwi kupandisha mizuka na kusababisha nyumbani pasilalike kwa siku hiyo.

nimeishia kati ngoja nikanywe kwanza maji
 
Nimeanza kuukubali msemo huu.Baada ya kung'atwa na nyoka kila nilipoona nyasi sikuweza kuacha kutapatapa!
Nililia na mapenzi mie mpaka nikahisi na gundu, nikaapa sitaki tena mapenzi.Trust me or not i realy meant it!
Out from the blue,ametokea jamaa amedeclare mapenzi mazito kwangu mpaka hata sijui nifanye nini.Kidogo kidogo ameanza kuwin moyo wangu.
Nachowaomba wanajf wenzangu mnitakie kheri kwenye hili penzi langu jipya na mnipe namna za kulifanya lilast forever.

mh! Pole na hongera! Inaonyesha ujuwi kuwa shetani ni malaika wa nuru na giza! Zidisha sala utajuwa ukweli.
 
Kuna mahusiano mapya nimeanza karibuni, you sound as the one. If so, there are two involved! Its either you are a good girl ndio maana unaombea heri hilo penzi, or you are unluck person maana all i want is just a nyumba ndogo. Pole sana if the last is the case. Lol...
 
Kuna mahusiano mapya nimeanza karibuni, you sound as the one. If so, there are two involved! Its either you are a good girl ndio maana unaombea heri hilo penzi, or you are unluck person maana all i want is just a nyumba ndogo. Pole sana if the last is the case. Lol...

what do u think?which am i of the two cases?
 
plan B ya nini tena?

The thing is, mapenzi kwa jinsi ulivyoyaexperience, yana a lot of uncertainties....sasa kukabliana nazo, ili usijeukafika mahali ukasema "never again" unakuwa na Plan B. umenipata?
 
The thing is, mapenzi kwa jinsi ulivyoyaexperience, yana a lot of uncertainties....sasa kukabliana nazo, ili usijeukafika mahali ukasema "never again" unakuwa na Plan B. umenipata?

your point is well noted k
 
Nimeanza kuukubali msemo huu.Baada ya kung'atwa na nyoka kila nilipoona nyasi sikuweza kuacha kutapatapa!
Nililia na mapenzi mie mpaka nikahisi na gundu, nikaapa sitaki tena mapenzi.Trust me or not i realy meant it!
Out from the blue,ametokea jamaa amedeclare mapenzi mazito kwangu mpaka hata sijui nifanye nini.Kidogo kidogo ameanza kuwin moyo wangu.
Nachowaomba wanajf wenzangu mnitakie kheri kwenye hili penzi langu jipya na mnipe namna za kulifanya lilast forever.

Kabakabana mbona mapema? Umemaliza healing process kweli au ndo bado uko katika denial stage?!
 
Wifi yangu KabaKabana, pole kwa mistreatment ya kaka yangu. Naomba radhi kwa niaba yake. Nakutakia kila la kheri, nakushauri take your time kuanguka penzini. Don't rush, jitahidi usimuwaze yeye tu (inaitwa obsession, ni kama ugonjwa sugu), waza na mengine. Mungu akutangulie kwa yote.
 
Wifi yangu KabaKabana, pole kwa mistreatment ya kaka yangu. Naomba radhi kwa niaba yake. Nakutakia kila la kheri, nakushauri take your time kuanguka penzini. Don't rush, jitahidi usimuwaze yeye tu (inaitwa obsession, ni kama ugonjwa sugu), waza na mengine. Mungu akutangulie kwa yote.

Mambo King? Apo juu si umeona nimempa Plan B? Ndio vile...
 
Back
Top Bottom