Never through good money after bad

Think2

JF-Expert Member
Joined
Jan 3, 2025
Posts
2,688
Reaction score
4,948
Umeanzisha biashara lakini inaendelea kupata hasara kila siku, halafu unaendelea kuingiza pesa zaidi bila kubadilisha kitu — hapo unakuwa unatupa “good money after bad.”
Cha kufanya badilisha biashara au uza kwa mtu
Unafikiri ni kwanini watu wanafirisika hiyo ndio sababu kubwa.
Zingatia hilo greatmind is speaking
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…