Never been in love?

Never been in love?

Gorgeousmimi

JF-Expert Member
Joined
Jun 21, 2010
Posts
9,296
Reaction score
7,688
Habari za saa hizi wanajukwaa wa MMU,

Hivi kuna uwezekano mwanaume mwenye umri ulozidi miaka 30 awe hajawahi kupenda?Kwa uelewa wangu hata yale mapenzi ya utotoni ni mapenzi pia ijapokuwa hayachukuliwi serious na hayapewi uzito kama ya ukubwani.

Kuna tofauti gani ya kumwambia mtu nakupenda lakini sijafall kwako?

Huyo mtu utakuwa unampenda vipi kama rafiki tu au kama ndugu?

Karibuni
Cc Eli79 Mkoroshokigoli xiexie The Boss Himidini Blue G Vaislay Ennie badiebey Isumbwile siafu dume BAK farkhina Ablessed Blessed Heaven on Earth Nyani Ngabu ICHANA na wengineo
 
^^
Pengine aliwahi kupenda, hataki kuumia tena! Pengine hakuwahi kupenda na sasa kutokana na kutojua anaogopa kuingiliana na jinsia tofauti.
Nijuavyo, mwanaume akipenda ataimba ngonjera zote ampate mwanamke.
Ukipata mwanaume wa aina hiyo, muweke kundi la URAFIKI hadi WAKATI utakapoleta majibu.
^^
 
..nadhani kuna tofauti kati ya upendo niliowaonyesha ndugu zangu wakati wa utoto na upendo ambao natakiwa nimuonyeshe gorgeousmimi wakati wa utu uzima. Ni vitu viwili tofauti.
..kuna possibility mtu mzima kabisa asiwahi kupenda kabisa. By he way, how often do people fall in love??
 
Last edited by a moderator:
Love is a myth....BIG LIE actually...tena kwa dunia tunayoishi saivi ndo kabisaaa,sometime people are together just because it's convenient...
Labda waje wanaoamini waseme hapa,ila mi hadi saivi siamini habari za true love and the like..
 
to like somebody.....to love somebody ....to be in love with somebody........vitu vitatu tofauti...
 
Love is a myth....BIG LIE actually...tena kwa dunia tunayoishi saivi ndo kabisaaa,sometime people are together just because it's convenient...
Labda waje wanaoamini waseme hapa,ila mi hadi saivi siamini habari za true love and the like..

I am in love with your lips ...lol
 
Love is a myth....BIG LIE actually...tena kwa dunia tunayoishi saivi ndo kabisaaa,sometime people are together just because it's convenient...
Labda waje wanaoamini waseme hapa,ila mi hadi saivi siamini habari za true love and the like..
OK….huyo mtu wangu nae akiamini hivohivo kwamba love is exaggeration and it doesn't exist…na sasa analalamika hajawahi kufall…ninavyoona mimi if you want to be in love you have to let yourself fall for someone…stop being pessimistic...
 
Inawezekana kutokana na mazingira mtu aliyojiwekea. Kuna watu wanajenga mazingira ya kuwaweka watu wa jinsia tofauti mbali na wao kutokana na maisha waliyopitia huko nyuma. Waliumizwa/waliona wengine wakiumizwa.
 
^^
Pengine aliwahi kupenda, hataki kuumia tena! Pengine hakuwahi kupenda na sasa kutokana na kutojua anaogopa kuingiliana na jinsia tofauti.
Nijuavyo, mwanaume akipenda ataimba ngonjera zote ampate mwanamke.
Ukipata mwanaume wa aina hiyo, muweke kundi la URAFIKI hadi WAKATI utakapoleta majibu.
^^
Is it possible just to fall in love automatically…or you have to work your way upwards through several steps like having a crush,liking,falling in love and being in love….
 
to love somebody and to be in love with somebody…ufafanuzi plizzzz

mfano mzuri ni mama yako au baba yako..automatically you love them but unaweza usiwe in love with them...labda kuna maudhi ya hapa na pale na maugomvi yasiyo kwisha but you love them......halafu chukua mfano wa a movie star....unakuwa in love with that movie star ingawa haumjui in person...but huwezi sema you love that person....
 
mfano mzuri ni mama yako au baba yako..automatically you love them but unaweza usiwe in love with them...labda kuna maudhi ya hapa na pale na maugomvi yasiyo kwisha but you love them......halafu chukua mfano wa a movie star....unakuwa in love with that movie star ingawa haumjui in person...but huwezi sema you love that person....
And what about your husband,lover or wife?will you be in love with them or just love them?
 
Na mtu akiwa na miaka 30..kama anataka kuanzisha mahusiano tena..anaangalia factor nyinyi sana..tofauti na mtu akiwa 20s mara nyingi factor kubwa inakuwa na utamu na mengine yana fuata..ila in 30s mengine kwanza then utamu ndo unafuata

mkuu, unatumia mvinyo? I wanna offer you some wine..umenena ukweli..
 
Inawezekana kutokana na mazingira mtu aliyojiwekea. Kuna watu wanajenga mazingira ya kuwaweka watu wa jinsia tofauti mbali na wao kutokana na maisha waliyopitia huko nyuma. Waliumizwa/waliona wengine wakiumizwa.
What if mtu huyo hajawahi kuumizwa lkn anasema alishapenda wasichana kabla ila sio kufall nao yaani mahabati niue….
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom