Neto Ndelito: Mtu aliyeiua Mount Meru University

Neto Ndelito: Mtu aliyeiua Mount Meru University

Hizo chuki zako na habari za kuchafua watu uache . Haiwezekani mtu mmoja akaangusha chuo.wewe ndo kilaza wa vilaza. Tena utakua na matatizo kwa kichwa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nina maswali kadhaa kwako;
Je, wewe ni private investigate company uliyetumwa kuchunguza nyendo za huyo jamaa? Kama sivyo imekuwaje uwepo kila mahali alipopita huyo jamaa na kushuhudia kila kitu alichokifanya kila alipoenda?
Ni mpelelezi au mwandishi wa hadithi tu anayeweza kuyaandika hayo katika mtiririko ulioweka lakini mtoa shutuma wa kawaida kamwe hawezi, yete angejikita eneo fulani tu either pale MMU au SAUT au kwenye magari. Lakini si mpaka airport au ofisi za TCU dar na kuwaacha wenzake kwenye mgahawa na yete kwenda kuzurura kwenye korido za TCU
Mkuu huyu ndio huyo VC kizuka . aliyekuwa anapelekwa mputa na ndugu Netho. Ukisoma vizuri hapa utaona wanaokiua hicho chuo ni Netho na mtoa mada. Tatizo Netho anaonekana kunemeka zaidi.
 
Back
Top Bottom