Netbeans Vs Android Studio

Diff C9

Member
Feb 12, 2021
64
64
Gwala kwa wana "Jf" wote, matumaini yangu majukumu yetu binafsi yanasonga ipasavyo.

Niende kwenye moja kwa moja kwenye mada husika, hivi karibuni nimeingia kwenye sekta ya android application design. Katika kuanza anza nimeanza kwa kujifunza p-l ya Java kama backbone ya programming kwa apps, lakini ilipokuja swala la kuamua kutumia aina ya IDE nikachagua Netbeans the reason behind ni kwamba niliona Android Studio ina vi package vingi ambavyo installation zake zinahitaji elimu ya ziada(I've been wanting to become somehow straightforward ).

477d2d6df3e0c8f1fcfbf5ece0e75b87.png


Lakini nilipoanza tu kutengeneza project yangu ya kwanza(Hello world! to be sure😂😂😂😂) kwa Netbeans nimekumbwa na hili jambo mapema, kwanza haina templates za kuanzia nazo yaani it comes all to the empty workplace unayoandikia code and not otherwise, yaani haina sehemu ambayo utachagua rangi ya app yako baya zaidi ya hilo haina hata sehemu ya kuamua android version ya ngapi app yako inaweza ku 'run' comfortably whether application itaweza ku "run" na ku 'display' vizuri kwenye Tablets. We unajaza tu vi fields empty na kuanza safari . Sasa nilikuwa nauliza jamani kama kuna mtu amewahi kutumia Netbeans kama IDE anijuze je is it reliable and promising?.
f4b1984d4b033545941c5057fe223b5e.jpg




PS: Mi ndo naanza kabisa kwenye upande huu wa Android App development sina any solid foundation zaidi ya Java na ku 'google', lakini hapo awali nilikuwa napenda mno kutengeneza website na nilikuwa natumia low and normal lgs kama HTML,CSS ,Bootstrap na Javascript. After a while I came to a conclusion that app development could be suitable than the earlier
61a8cf843847e4f623c4f8f234ef3176.png
 
Android studio ni ide rasmi ya kuunda app za android.

Google waliooberesha ide ya intelJ na kuiita android studio. Hivyo android studio inakuwa na packages za android sdk.

Kiushauri, tumia android studio kutengeneza apps za simu za android.
 
Android studio ni ide rasmi ya kuunda app za android.

Google waliooberesha ide ya intelJ na kuiita android studio. Hivyo android studio inakuwa na packages za android sdk.

Kiushauri, tumia android studio kutengeneza apps za simu za android.
shukrani mkuu🤝
 
Siku zote unashauriwa kutumia official IDE sababu ndio zitakupa tools zote zinazohitajika na kunakua na integration nzuri. Hasa ukija kwenye mambo ya UI na debugging tools, official IDE ndio zipo vizuri hapa. Hizo IDE nyingine wanatumia watu walioozoea ku code au watu wanaodeal sana na backend. Kuna watu XML layout wanazichora kwa code tu. Always tumia official IDE unless unajua kabisa kwanini unataka kutumia IDE zingine

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Netbeans ni cross-platform, sidhani kama utaweza run Android emulator huko unless kuwe na steps ndefu ndefu, plugins kama zote

Android Studio iko slick kwa android apps, kuhusu issue ya ku-install packages, Studio ya 2018 kuja juu walirahisisha sana izo complications waliziondoa, zaidi ya ku download zile packages za API levels za Emulator
 
Siku zote unashauriwa kutumia official IDE sababu ndio zitakupa tools zote zinazohitajika na kunakua na integration nzuri. Hasa ukija kwenye mambo ya UI na debugging tools, official IDE ndio zipo vizuri hapa. Hizo IDE nyingine wanatumia watu walioozoea ku code au watu wanaodeal sana na backend. Kuna watu XML layout wanazichora kwa code tu. Always tumia official IDE unless unajua kabisa kwanini unataka kutumia IDE zingine

Sent using Jamii Forums mobile app
Hapa umenifungua
 
Wewe umesema haujui hata java ila unayo ya kugoogle, soma java vizuri ikiwezekana ichambue kupitia summary za w3school uku ukitumia netbeans, ukiona umeelewa sasa tumia android studio kusoma mambo ya kutengeneza app za android.

Vinginevyo unajichosha
 
Android studio ni ide rasmi ya kuunda app za android.

Google waliooberesha ide ya intelJ na kuiita android studio. Hivyo android studio inakuwa na packages za android sdk.

Kiushauri, tumia android studio kutengeneza apps za simu za android.
Android studio inanikera sana jinsi ilivyo nzito kweye laptop yangu.plus vi package kibao vya ku install...kiufupi sijawah kuipenda na imeni discourage sana kufanya android programing....i there any other alternative develpmnt platform for android???kindly advice
 
Android studio inanikera sana jinsi ilivyo nzito kweye laptop yangu.plus vi package kibao vya ku install...kiufupi sijawah kuipenda na imeni discourage sana kufanya android programing....i there any other alternative develpmnt platform for android???kindly advice
Zamani eclipse ide ilikuwa inatumika kabla ya Android studio, sijui kama eclipse inakubali mpaka sasa.

Lakini android studio 4.1 na kuendelea inafunguka kwa haraka ukilinganisha na matoleo ya zamani.
 
Zamani eclipse ide ilikuwa inatumika kabla ya Android studio, sijui kama eclipse inakubali mpaka sasa.

Lakini android studio 4.1 na kuendelea inafunguka kwa haraka ukilinganisha na matoleo ya zamani.
Thanks for the tip.i will find it ksho
 
Android studio inanikera sana jinsi ilivyo nzito kweye laptop yangu.plus vi package kibao vya ku install...kiufupi sijawah kuipenda na imeni discourage sana kufanya android programing....i there any other alternative develpmnt platform for android???kindly advice
Labda kma laptop yako ni 2nd gen intel huko na 4GB RAM. Ila kuanzia 4th gen (hata 3rd gen) inapiga kazi vizuri tu ukiwa na 8GB na kidogo uwe na SSD. HDD ni majanga sikuhz, kma una hela hata 150,000 chukua SSD na utumie HDD yako ya zamani kma external. Maisha yako yatakuwa mazuri sana.

Pia kma laptop yako haina uwezo achana na emulator. Tumia simu yako kutest app yako

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Gwala kwa wana "Jf" wote, matumaini yangu majukumu yetu binafsi yanasonga ipasavyo.
Niende kwenye moja kwa moja kwenye mada husika, hivi karibuni nimeingia kwenye sekta ya android application design. Katika kuanza anza nimeanza kwa kujifunza p-l ya Java kama backbone ya programming kwa apps, lakini ilipokuja swala la kuamua kutumia aina ya IDE nikachagua Netbeans the reason behind ni kwamba niliona Android Studio ina vi package vingi ambavyo installation zake zinahitaji elimu ya ziada(I've been wanting to become somehow straightforward ).
View attachment 1709921

Lakini nilipoanza tu kutengeneza project yangu ya kwanza(Hello world! to be sure) kwa Netbeans nimekumbwa na hili jambo mapema, kwanza haina templates za kuanzia nazo yaani it comes all to the empty workplace unayoandikia code and not otherwise, yaani haina sehemu ambayo utachagua rangi ya app yako baya zaidi ya hilo haina hata sehemu ya kuamua android version ya ngapi app yako inaweza ku 'run' comfortably whether application itaweza ku "run" na ku 'display' vizuri kwenye Tablets. We unajaza tu vi fields empty na kuanza safari . Sasa nilikuwa nauliza jamani kama kuna mtu amewahi kutumia Netbeans kama IDE anijuze je is it reliable and promising?.
View attachment 1709920



PS: Mi ndo naanza kabisa kwenye upande huu wa Android App development sina any solid foundation zaidi ya Java na ku 'google', lakini hapo awali nilikuwa napenda mno kutengeneza website na nilikuwa natumia low and normal lgs kama HTML,CSS ,Bootstrap na Javascript. After a while I came to a conclusion that app development could be suitable than the earlierView attachment 1709919
Pia kma unasoma tu Java (bado hujaanza kutengeneza app) ni vyema utumie IDE kma Eclipse or Intelij IDEA

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Labda kma laptop yako ni 2nd gen intel huko na 4GB RAM. Ila kuanzia 4th gen (hata 3rd gen) inapiga kazi vizuri tu ukiwa na 8GB na kidogo uwe na SSD. HDD ni majanga sikuhz, kma una hela hata 150,000 chukua SSD na utumie HDD yako ya zamani kma external. Maisha yako yatakuwa mazuri sana.

Pia kma laptop yako haina uwezo achana na emulator. Tumia simu yako kutest app yako

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu nipe minimum specs za laptop niitafute ili niweze kutumia emulator..
 
Wewe umesema haujui hata java ila unayo ya kugoogle, soma java vizuri ikiwezekana ichambue kupitia summary za w3school uku ukitumia netbeans, ukiona umeelewa sasa tumia android studio kusoma mambo ya kutengeneza app za android.

Vinginevyo unajichosha
Lg ninayoijua ni Java ,ila setting zingine zikiniangukia ovyo nakimbilia google, mara nyingi uwa natafuta extensions zinazoweza ku "support " baadhi ya vitu nnavyovofanya.
 
Lg ninayoijua ni Java ,ila setting zingine zikiniangukia ovyo nakimbilia google, mara nyingi uwa natafuta extensions zinazoweza ku "support " baadhi ya vitu nnavyovofanya.
Basi android studio ndo mpango mzima
 
2 Reactions
Reply
Back
Top Bottom