Ngigana
JF-Expert Member
- Apr 16, 2010
- 2,102
- 1,438
Obama aibuuuuuu
Aibu iliyoje kwa Baraka H. Obama alipeleka timu ya kampeni ili wakaimarishe kampeni dhidi ya Ben, ameumbuka.
Obama aibuuuuuu
ni gaidi namba moja., hana huruma na wanadam wenzake wa parestina., anawaua wakubwa kwa wadogo na kuwapora ardhi zao huku dunia nzima ikibaki kimya kanakwamba anachofanya ni sahihi. walipouawa wafaransa 12 kwenye tukio maarufu hivi karibuni tulishuhudia maandamano makubwa,. Leo kila uchao waparestina wanauwawa hakuna wakuwasemea.,huruma iko wapi!!!
ni gaidi namba moja., hana huruma na wanadam wenzake wa parestina., anawaua wakubwa kwa wadogo na kuwapora ardhi zao huku dunia nzima ikibaki kimya kanakwamba anachofanya ni sahihi. walipouawa wafaransa 12 kwenye tukio maarufu hivi karibuni tulishuhudia maandamano makubwa,. Leo kila uchao waparestina wanauwawa hakuna wakuwasemea.,huruma iko wapi!!!
Aibu iliyoje kwa Baraka H. Obama alipeleka timu ya kampeni ili wakaimarishe kampeni dhidi ya Ben, ameumbuka.
Umesoma history Yake Lakini ? Kaka ake una kumbuka aliyofanya Uganda .Hawaogopi watuni gaidi namba moja., hana huruma na wanadam wenzake wa parestina., anawaua wakubwa kwa wadogo na kuwapora ardhi zao huku dunia nzima ikibaki kimya kanakwamba anachofanya ni sahihi. walipouawa wafaransa 12 kwenye tukio maarufu hivi karibuni tulishuhudia maandamano makubwa,. Leo kila uchao waparestina wanauwawa hakuna wakuwasemea.,huruma iko wapi!!!
Safi sana,natumai ataendeleza kichapo kwa yale manyang'au pale middle east.
Aibu iliyoje kwa Baraka H. Obama alipeleka timu ya kampeni ili wakaimarishe kampeni dhidi ya Ben, ameumbuka.
wananchi wa israel mara nyingi hawapendi viongozi goigoi hasa linapokuja suala la usalama wao na taifa lao.
MziziMkavu
Congratulations prime minister Bibi! I think Obama's plan backfired, because the more I get to know this Prime Minister the more respect I have for him and the more I like him!!
Hivi huwa mnanufaika nini kutukana Palestine na Israel??!!!
Hivi huwa mnanufaika nini kutukana Palestine na Israel??!!!