Netanyahu's Likud wins Israel Election

ni gaidi namba moja., hana huruma na wanadam wenzake wa parestina., anawaua wakubwa kwa wadogo na kuwapora ardhi zao huku dunia nzima ikibaki kimya kanakwamba anachofanya ni sahihi. walipouawa wafaransa 12 kwenye tukio maarufu hivi karibuni tulishuhudia maandamano makubwa,. Leo kila uchao waparestina wanauwawa hakuna wakuwasemea.,huruma iko wapi!!!

acha unafiki waafrika wanakufa kwa ukimwi na malaria hujawaonea huruma, hao sub human wa kipalestina wanakufa kifo rahisi kabisa cha kupigwa risasi unajifanya kuwaombea huruma, unaliwa alifu.
 
ni gaidi namba moja., hana huruma na wanadam wenzake wa parestina., anawaua wakubwa kwa wadogo na kuwapora ardhi zao huku dunia nzima ikibaki kimya kanakwamba anachofanya ni sahihi. walipouawa wafaransa 12 kwenye tukio maarufu hivi karibuni tulishuhudia maandamano makubwa,. Leo kila uchao waparestina wanauwawa hakuna wakuwasemea.,huruma iko wapi!!!

Mkuu mimi nakushauri anzisha maandamano na kuwasemea wapalestina (waparestina kama ulivyowaita), bila utapata watakao kuunga mkono
 
ni gaidi namba moja., hana huruma na wanadam wenzake wa parestina., anawaua wakubwa kwa wadogo na kuwapora ardhi zao huku dunia nzima ikibaki kimya kanakwamba anachofanya ni sahihi. walipouawa wafaransa 12 kwenye tukio maarufu hivi karibuni tulishuhudia maandamano makubwa,. Leo kila uchao waparestina wanauwawa hakuna wakuwasemea.,huruma iko wapi!!!
Umesoma history Yake Lakini ? Kaka ake una kumbuka aliyofanya Uganda .Hawaogopi watu
 
Msikilize hapa wakati ni kijana wa miaka 28.

[video]https://youtu.be/YQx3XMkiVbg[/video]
 
MziziMkavu

Congratulations prime minister Bibi! I think Obama's plan backfired, because the more I get to know this Prime Minister the more respect I have for him and the more I like him!!

Obama atasababisha democratic kupoteza next time.Kwani Sera zake hazina tofauti na Bibi Hillary Clinton.
Ninai.ani Republican wanarudi.next time kusimamia show. Na hapa Israel, Saudi, USA watakuwa pamoja ku-deal na kitisho cha Iran. Kwani hats mfalme mpya wa Saidia e
Amezitaka nchini za kiarabu kutambua adui yao mkuu ni Iran na ndiye kikuu pale arabuni. It seems hata saudia wanapingana na mienendo ya Obama.kwenye salata la nuclear program la Iran.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom