Adiosamigo
JF-Expert Member
- Oct 2, 2013
- 10,652
- 14,058
Pole sana we unajida mwanajeshi mstaafu wa JWTZ, hebu tuambie nini mana ya adui yako aingie mpaa kwenye mipaka yako umeweka kila silaha na Rada za kumuona afu anakutwanga hata kama kauwa mmoja? Hebu tuambie wacha kutoa mapovu.Alipouwa wanajeshi 2 akawa na nguvu sana?????? je akiuwa wanajeshi 100 si atakuwa na nguvu kabisa maana ameuwa 2 akawa na nguvu sana.