kufakunesa
Member
- Jul 29, 2011
- 13
- 1
"Aisee bro leo usipolipa deni lako familia italala njaa"
"Mungu saidia nimepata kura za kutosha AISEE la sivyo nyumba yangu ingeuzwa"
Swali: (i) Neno/Msemo Aisee ni la Kiswahili, kama ndio chimbuko na maana yake halisi ni nini?
(ii) Kama sio Neno/Msemo halisi la Kiswahili, je ni nini sababu ya kutumika kwake?
Tujadiliane binafsi cna Jibu.....
"Mungu saidia nimepata kura za kutosha AISEE la sivyo nyumba yangu ingeuzwa"
Swali: (i) Neno/Msemo Aisee ni la Kiswahili, kama ndio chimbuko na maana yake halisi ni nini?
(ii) Kama sio Neno/Msemo halisi la Kiswahili, je ni nini sababu ya kutumika kwake?
Tujadiliane binafsi cna Jibu.....