PreGE2025 Neno 'Mizani' linatumika kuminya media na kuibeba Serikali na CCM kukimbia kuwajibika kuwajibu wananchi kwenye maswali magumu

PreGE2025 Neno 'Mizani' linatumika kuminya media na kuibeba Serikali na CCM kukimbia kuwajibika kuwajibu wananchi kwenye maswali magumu

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla)

Precious Diamond

JF-Expert Member
Joined
Jun 9, 2023
Posts
710
Reaction score
1,610
Leo asubuhi The Chanzo wameondoa press ya Gwajima YouTube wakiweka wazi kuwa wametakiwa kuondoa story hiyo na TCRA sababu press hiyo imekosa 'Mizania', hawakulance kwenye namba ya watu waliotekwa nchini kwa kwenda kuihoji mamlaka serikali na hivyo kusababisha wananchi kuichukia serikali yake!🤣🤣

Wengine waliondoa kimyakimya ikiwa ni tetesi tu kuwa serikali ilishapeleka vitisho ila The Chanzo wametuweka wazi, kuwa ni serikali ndio imetaka hayo kwa kutumia hiyo hoya ya mizania.

1748338822094.png

Lakini tukiangalia hili kwa undani ni kweli ni kuhusu 'mizania (kubalance)' story au ni sababu jambo ni gumu na serikali hawana majibu hivyo ili wakimbie kusulubiwa basi wanakimbilia kuzuia maudhui hayo hasa ukizingatia sasa wananchi wanafuatilia kwa karibu mwenendo wa kisiasa kuelekea uchaguguzi mkuu Oktoba?

Kama mnakumbuka mwishoni wa 2024 Tanganyika Law Society (TLS) walitoa orodha ya watu waliotekwa, ikiwemo mazingira waliyotekwa pamoja na status yao. Mbona hatukuona mambo za kubalance? Au sababu waliofanya hawakuwa media na hawakuwa na njia ya kuweza kuwabana?

Kwanini waje kuzuia haya kwa Gwajima? Kwasababu kupitia media wananchi wengi zaidi watademand uwajibikaji? Uko wapi uhuru uliohakikishiwa na katiba kuhakikisha wananchi wanapata taarifa?

Kwanini kimewafanya serikali wasijibu toka TLS walipotoa ripoti yao? Si si sawa na hiki alichoongelea Gwajima? Ni sababu TLS hawana wafuasi wengi kwa taarifa kufika katika kila upande wa Tanzania?

Na kuhakikisha mnaziminya zaidi media mkaja na bodi ya ithibati, ambayo huko mbeleni mtataka kila maudhui yawe yanapitiwa kama upuuzi wanaofanya BASATA ili kuwe na habari za uchawa tu.

Hili linatakiwa kukemewa kwa nguvu zote, wanaoathirika sio media pekee, ni mpaka wewe mlaji wa mwisho unaotegemea media hizi kukupa taarifa zenye tija kwa maslahi ya taifa wakati wote. Fikiria taarifa zote zikiwa zinasifia tu serikali tutakuwa tunaishi kwenye jamii gani ambayo haiwezi kutofautisha kati ya mbivu na mbichi?

Wabunge hawa wanaenda kuwa mawaziri mpaka Rais tunawachagua sisi, uchawa ni sisi ndio tufanya uendelee, tukiamua ukome utakoma leo, yaani kiufupi maamuzi yako mikononi mwetu kukemea kila aina ya ushenzi unafanyika nchini. Kazi kwetu kuendelea kuechekea haya yaendelee ama lah!
 
Leo asubuhi The Chanzo wameondoa press ya Gwajima YouTube wakiweka wazi kuwa wametakiwa kuondoa story hiyo na TCRA sababu press hiyo imekosa 'Mizania', hawakulance kwenye namba ya watu waliotekwa nchini kwa kwenda kuihoji mamlaka serikali na hivyo kusababisha wananchi kuichukia serikali yake!🤣🤣

Wengine waliondoa kimyakimya ikiwa ni tetesi tu kuwa serikali ilishapeleka vitisho ila The Chanzo wametuweka wazi, kuwa ni serikali ndio imetaka hayo kwa kutumia hiyo hoya ya mizania.


Lakini tukiangalia hili kwa undani ni kweli ni kuhusu 'mizania (kubalance)' story au ni sababu jambo ni gumu na serikali hawana majibu hivyo ili wakimbie kusulubiwa basi wanakimbilia kuzuia maudhui hayo hasa ukizingatia sasa wananchi wanafuatilia kwa karibu mwenendo wa kisiasa kuelekea uchaguguzi mkuu Oktoba?

Kama mnakumbuka mwishoni wa 2024 Tanganyika Law Society (TLS) walitoa orodha ya watu waliotekwa, ikiwemo mazingira waliyotekwa pamoja na status yao. Mbona hatukuona mambo za kubalance? Au sababu waliofanya hawakuwa media na hawakuwa na njia ya kuweza kuwabana?

Kwanini waje kuzuia haya kwa Gwajima? Kwasababu kupitia media wananchi wengi zaidi watademand uwajibikaji? Uko wapi uhuru uliohakikishiwa na katiba kuhakikisha wananchi wanapata taarifa?

Kwanini kimewafanya serikali wasijibu toka TLS walipotoa ripoti yao? Si si sawa na hiki alichoongelea Gwajima? Ni sababu TLS hawana wafuasi wengi kwa taarifa kufika katika kila upande wa Tanzania?

Na kuhakikisha mnaziminya zaidi media mkaja na bodi ya ithibati, ambayo huko mbeleni mtataka kila maudhui yawe yanapitiwa kama upuuzi wanaofanya BASATA ili kuwe na habari za uchawa tu.

Hili linatakiwa kukemewa kwa nguvu zote, wanaoathirika sio media pekee, ni mpaka wewe mlaji wa mwisho unaotegemea media hizi kukupa taarifa zenye tija kwa maslahi ya taifa wakati wote. Fikiria taarifa zote zikiwa zinasifia tu serikali tutakuwa tunaishi kwenye jamii gani ambayo haiwezi kutofautisha kati ya mbivu na mbichi?

Wabunge hawa wanaenda kuwa mawaziri mpaka Rais tunawachagua sisi, uchawa ni sisi ndio tufanya uendelee, tukiamua ukome utakoma leo, yaani kiufupi maamuzi yako mikononi mwetu kukemea kila aina ya ushenzi unafanyika nchini. Kazi kwetu kuendelea kuechekea haya yaendelee ama lah!
Copy zimesha sambaa too late for that
 
Mbona ile ya Makalla aliyosema Chadema inataka kuzuia uchaguzi kwa kuagiza virusi vya Ebola na kuvisambaza haikuondolewa?

Siku Utawala ukiondoshwa madarakani watu wasije kusema walikuwa wamefungwa mikono.
 
Sasa watu washa download na replays zipo Clubhouse TCRA wanaficha nini?
Si ndio hapo, kwa utube imebaki kwenye channel ya Gwajima mwenyewe...... wanaona kama waandishi wakimute basi video haziwezi kusambaa
 
Copy zimesha sambaa too late for that
Nadhani hii itatumika kama warning, mtu akitaka kufanya press itabidi afanye mwenyewe as a person lakini media zitakuwa zinakatazwa, labda ziwe zinafanywa kwa surprise hadi wakishtuka tushadowload
 
Mbona ile ya Makalla aliyosema Chadema inataka kuzuia uchaguzi kwa kuagiza virusi vya Ebola na kuvisambaza haikuondolewa?

Siku Utawala ukiondoshwa madarakani watu wasije kusema walikuwa wamefungwa mikono.
Si haiharibu maslahi yao, tena ni suala linalogusa mpaka maslahi ya nchi lakini aaah
 
Leo asubuhi The Chanzo wameondoa press ya Gwajima YouTube wakiweka wazi kuwa wametakiwa kuondoa story hiyo na TCRA sababu press hiyo imekosa 'Mizania', hawakulance kwenye namba ya watu waliotekwa nchini kwa kwenda kuihoji mamlaka serikali na hivyo kusababisha wananchi kuichukia serikali yake!🤣🤣

Wengine waliondoa kimyakimya ikiwa ni tetesi tu kuwa serikali ilishapeleka vitisho ila The Chanzo wametuweka wazi, kuwa ni serikali ndio imetaka hayo kwa kutumia hiyo hoya ya mizania.


Lakini tukiangalia hili kwa undani ni kweli ni kuhusu 'mizania (kubalance)' story au ni sababu jambo ni gumu na serikali hawana majibu hivyo ili wakimbie kusulubiwa basi wanakimbilia kuzuia maudhui hayo hasa ukizingatia sasa wananchi wanafuatilia kwa karibu mwenendo wa kisiasa kuelekea uchaguguzi mkuu Oktoba?

Kama mnakumbuka mwishoni wa 2024 Tanganyika Law Society (TLS) walitoa orodha ya watu waliotekwa, ikiwemo mazingira waliyotekwa pamoja na status yao. Mbona hatukuona mambo za kubalance? Au sababu waliofanya hawakuwa media na hawakuwa na njia ya kuweza kuwabana?

Kwanini waje kuzuia haya kwa Gwajima? Kwasababu kupitia media wananchi wengi zaidi watademand uwajibikaji? Uko wapi uhuru uliohakikishiwa na katiba kuhakikisha wananchi wanapata taarifa?

Kwanini kimewafanya serikali wasijibu toka TLS walipotoa ripoti yao? Si si sawa na hiki alichoongelea Gwajima? Ni sababu TLS hawana wafuasi wengi kwa taarifa kufika katika kila upande wa Tanzania?

Na kuhakikisha mnaziminya zaidi media mkaja na bodi ya ithibati, ambayo huko mbeleni mtataka kila maudhui yawe yanapitiwa kama upuuzi wanaofanya BASATA ili kuwe na habari za uchawa tu.

Hili linatakiwa kukemewa kwa nguvu zote, wanaoathirika sio media pekee, ni mpaka wewe mlaji wa mwisho unaotegemea media hizi kukupa taarifa zenye tija kwa maslahi ya taifa wakati wote. Fikiria taarifa zote zikiwa zinasifia tu serikali tutakuwa tunaishi kwenye jamii gani ambayo haiwezi kutofautisha kati ya mbivu na mbichi?

Wabunge hawa wanaenda kuwa mawaziri mpaka Rais tunawachagua sisi, uchawa ni sisi ndio tufanya uendelee, tukiamua ukome utakoma leo, yaani kiufupi maamuzi yako mikononi mwetu kukemea kila aina ya ushenzi unafanyika nchini. Kazi kwetu kuendelea kuechekea haya yaendelee ama lah!
Ifike wakati wananchii TUWE TUNASAUTI KULIKO HAO TUNAOWACHAGUA
 
Leo asubuhi The Chanzo wameondoa press ya Gwajima YouTube wakiweka wazi kuwa wametakiwa kuondoa story hiyo na TCRA sababu press hiyo imekosa 'Mizania', hawakulance kwenye namba ya watu waliotekwa nchini kwa kwenda kuihoji mamlaka serikali na hivyo kusababisha wananchi kuichukia serikali yake!🤣🤣

Wengine waliondoa kimyakimya ikiwa ni tetesi tu kuwa serikali ilishapeleka vitisho ila The Chanzo wametuweka wazi, kuwa ni serikali ndio imetaka hayo kwa kutumia hiyo hoya ya mizania.


Lakini tukiangalia hili kwa undani ni kweli ni kuhusu 'mizania (kubalance)' story au ni sababu jambo ni gumu na serikali hawana majibu hivyo ili wakimbie kusulubiwa basi wanakimbilia kuzuia maudhui hayo hasa ukizingatia sasa wananchi wanafuatilia kwa karibu mwenendo wa kisiasa kuelekea uchaguguzi mkuu Oktoba?

Kama mnakumbuka mwishoni wa 2024 Tanganyika Law Society (TLS) walitoa orodha ya watu waliotekwa, ikiwemo mazingira waliyotekwa pamoja na status yao. Mbona hatukuona mambo za kubalance? Au sababu waliofanya hawakuwa media na hawakuwa na njia ya kuweza kuwabana?

Kwanini waje kuzuia haya kwa Gwajima? Kwasababu kupitia media wananchi wengi zaidi watademand uwajibikaji? Uko wapi uhuru uliohakikishiwa na katiba kuhakikisha wananchi wanapata taarifa?

Kwanini kimewafanya serikali wasijibu toka TLS walipotoa ripoti yao? Si si sawa na hiki alichoongelea Gwajima? Ni sababu TLS hawana wafuasi wengi kwa taarifa kufika katika kila upande wa Tanzania?

Na kuhakikisha mnaziminya zaidi media mkaja na bodi ya ithibati, ambayo huko mbeleni mtataka kila maudhui yawe yanapitiwa kama upuuzi wanaofanya BASATA ili kuwe na habari za uchawa tu.

Hili linatakiwa kukemewa kwa nguvu zote, wanaoathirika sio media pekee, ni mpaka wewe mlaji wa mwisho unaotegemea media hizi kukupa taarifa zenye tija kwa maslahi ya taifa wakati wote. Fikiria taarifa zote zikiwa zinasifia tu serikali tutakuwa tunaishi kwenye jamii gani ambayo haiwezi kutofautisha kati ya mbivu na mbichi?

Wabunge hawa wanaenda kuwa mawaziri mpaka Rais tunawachagua sisi, uchawa ni sisi ndio tufanya uendelee, tukiamua ukome utakoma leo, yaani kiufupi maamuzi yako mikononi mwetu kukemea kila aina ya ushenzi unafanyika nchini. Kazi kwetu kuendelea kuechekea haya yaendelee ama lah!
Copy zimesha sambaa too late for that
 
Leo asubuhi The Chanzo wameondoa press ya Gwajima YouTube wakiweka wazi kuwa wametakiwa kuondoa story hiyo na TCRA sababu press hiyo imekosa 'Mizania', hawakulance kwenye namba ya watu waliotekwa nchini kwa kwenda kuihoji mamlaka serikali na hivyo kusababisha wananchi kuichukia serikali yake!🤣🤣

Wengine waliondoa kimyakimya ikiwa ni tetesi tu kuwa serikali ilishapeleka vitisho ila The Chanzo wametuweka wazi, kuwa ni serikali ndio imetaka hayo kwa kutumia hiyo hoya ya mizania.


Lakini tukiangalia hili kwa undani ni kweli ni kuhusu 'mizania (kubalance)' story au ni sababu jambo ni gumu na serikali hawana majibu hivyo ili wakimbie kusulubiwa basi wanakimbilia kuzuia maudhui hayo hasa ukizingatia sasa wananchi wanafuatilia kwa karibu mwenendo wa kisiasa kuelekea uchaguguzi mkuu Oktoba?

Kama mnakumbuka mwishoni wa 2024 Tanganyika Law Society (TLS) walitoa orodha ya watu waliotekwa, ikiwemo mazingira waliyotekwa pamoja na status yao. Mbona hatukuona mambo za kubalance? Au sababu waliofanya hawakuwa media na hawakuwa na njia ya kuweza kuwabana?

Kwanini waje kuzuia haya kwa Gwajima? Kwasababu kupitia media wananchi wengi zaidi watademand uwajibikaji? Uko wapi uhuru uliohakikishiwa na katiba kuhakikisha wananchi wanapata taarifa?

Kwanini kimewafanya serikali wasijibu toka TLS walipotoa ripoti yao? Si si sawa na hiki alichoongelea Gwajima? Ni sababu TLS hawana wafuasi wengi kwa taarifa kufika katika kila upande wa Tanzania?

Na kuhakikisha mnaziminya zaidi media mkaja na bodi ya ithibati, ambayo huko mbeleni mtataka kila maudhui yawe yanapitiwa kama upuuzi wanaofanya BASATA ili kuwe na habari za uchawa tu.

Hili linatakiwa kukemewa kwa nguvu zote, wanaoathirika sio media pekee, ni mpaka wewe mlaji wa mwisho unaotegemea media hizi kukupa taarifa zenye tija kwa maslahi ya taifa wakati wote. Fikiria taarifa zote zikiwa zinasifia tu serikali tutakuwa tunaishi kwenye jamii gani ambayo haiwezi kutofautisha kati ya mbivu na mbichi?

Wabunge hawa wanaenda kuwa mawaziri mpaka Rais tunawachagua sisi, uchawa ni sisi ndio tufanya uendelee, tukiamua ukome utakoma leo, yaani kiufupi maamuzi yako mikononi mwetu kukemea kila aina ya ushenzi unafanyika nchini. Kazi kwetu kuendelea kuechekea haya yaendelee ama lah!
HAO VIONGOZI TUNAWACHAGUA, KWANZIA WABUNGE WANALIPWA KWA KODI ZETU SISI, SISI WANANCHI NDIO MABOSS WAO TUNAFELI WAPI KWANINI TUSIKATAE HAYA YOTE KWA UJUMLAA CCM IMELEWAA MADARAKA HAPO SEREKALINI WAO NDIO WANA TERRORIZE HIII NCHI AMBAYO NI YA WANANCHI NA SIO YAO
 
Mbona ile ya Makalla aliyosema Chadema inataka kuzuia uchaguzi akwa kuagiza virusi vya Ebola na kuvisambaza haikuondolewa?

Siku Utawala ukiondoshwa madarakani watu wasije kusema walikuwa wamefungwa mikono.
Waambie ukweli Hawa mapimbi na machawa hawajitambui kabisa!
 
Lakini niseme mizania ndio upumbavu gani?....kama upande wa serikali una majibu ulete tu!....vitu vingine ni ukweli hivyo ni ngumu kutoa majibu..
Hivi niulize kwani watu hawatekwi?..watu hawauwawi?...
Mzee kibao yupo wapi.....mdude yupo wapi?...
Kitima kapigwa na nani?...
Nani asiejua nani anafanya haya?...watu kuwa kimya sio kwamba watu ni wapumbavu...
Utauwa watu wangapi?....
Kwa taarifa yenu wauwaji Gwajima kashawataja..
Yule lofa wa yanga Muro anaongea nini?...watu wanamuangalia tu..
Muda utaongea...
 
Lakini niseme mizania ndio upumbavu gani?....kama upande wa serikali una majibu ulete tu!....vitu vingine ni ukweli hivyo ni ngumu kutoa majibu..
Hivi niulize kwani watu hawatekwi?..watu hawauwawi?...
Mzee kibao yupo wapi.....mdude yupo wapi?...
Kitima kapigwa na nani?...
Nani asiejua nani anafanya haya?...watu kuwa kimya sio kwamba watu ni wapumbavu...
Utauwa watu wangapi?....
Kwa taarifa yenu wauwaji Gwajima kashawataja..
Muda utaongea...
Ni sababu hawana majibu, hivyo wanazuia kila njia kuzuia maswali!
 
Back
Top Bottom