Miss Natafuta
JF-Expert Member
- Sep 16, 2015
- 25,557
- 45,876
kama hujui basisijui nifahamishe pliz!na mbona kama naona dalili za povu?
kama hujui basisijui nifahamishe pliz!na mbona kama naona dalili za povu?
Kaka pole sana. Mimi ndo kitu ninachoogopa mpaka leo. Mungu naomba yasinitokee.Ilikuwa ni tarehe 25. July. 2012 majira ya saa tano hiv asubuh nikiwa nyumbani Mwanza, alinitext sikumuelewa alichokuwa anataka nimuelewe, nikampigia nilipomuuliza akanijibu, "Unajua nini, nataka tuachane, sikupendi tena wala sina future na wewe na sipendi nikusaliti". Siku hiyo niliomba msamaha kwa kosa nisilolijua, nilipata tabu, nilikuwa juan navuta spid ya kuoga, ghafla nilipatwa joto la ajabu.
Nakumbuka siku hiyo nyumban hata sukari tu kwenye uji haikupatikana, tulikunywa uji wa bila sukari, huku bibie yupo chuo nasubir arud mwaka wa pili huo tutambulishane kwa wazazi, nikaja kusikia kumbe alipata Eng, chuo cha jiran yao, chuo cha Mandela Arusha. Niliteseka miaka miwili nikiwa nina iman ipo siku atanirudia tuwe wapenzi, kumbe alishapewa na ujauzito akazaa. Huwa siisahau hii siku, kejeli zake ingawa zilikuja kunijenga sana. Nashukuru sana mdada ex.
bila shaka ulimpa 0713nakumbuka alivyikuwa anakuja pale chuo kunitembelea nikimuona najiambia moyoni you are mine forever..marafiki zangu walimpenda na kunisifia nae ..lakini mwisho wa siku Engineer wa kipare akaona hawezi tena kupika chungu kimoja na manka..niliumia sana maana kila saa nikisikia jina lake ,,uwiiii ..nashukuru Mungu nimezoea sasa wala nikisikia hata mshipa wa tako hauchezi tena...hahaa..SHIKAMOONI MAINJIA WOTE..HAKIKA HAMNA UPENDO WA KWELI...HATA MPENDWEJE,,,
Wanasema huwez kuyakwepa maumivu ikiwa unataka kuishi maisha halisi yako mwenyewe.Kaka pole sana. Mimi ndo kitu ninachoogopa mpaka leo. Mungu naomba yasinitokee.
-callmeGhost
Kati ya wewe na mkewe nani anachura?yule bwana alipata mwanamke mwingine ambae ni wife wake now so alitaka kuniacha nikawa namlilia ndo akawa amenitext hivo ila cha ajabu akawa amenirudia ila mahusiano yakawa magumu tukaja tu kuachana kwa amani .ila nilikuwa nampenda sana na kumjali .ila ndo watu kama Mungu hatowalipia sijui kwa kweli. ndo alikuwa mpenzi wangu wa kwanza na wa mwisho maana toka hapo sijawai kuwa na mpenzi tena yaani
sijawai kuona mwanamke mbaya kama yuleKati ya wewe na mkewe nani anachura?
Chozi la mwanamke kwa jili ya penzi ni sulnah ujue nyie mna machozi meng so inabid myapunguze kiivoYani wanateswa na machozi na manung'uniko kutoka kwa wanawake walio wapotezea muda
Mm ukinipa ahad kama izo uwa nazikataa mapemaaa sababu mm sio maji wala chakula nazikataa mapema kabisa cha kufia nn bwanaHizo ahadi za 'your my life' aisee sijawahi, ni hizi za kawaida kawaida tu.
Hahaaa huwez jua labda mnato balaa na samasolt za kiwango bora chumbansijawai kuona mwanamke mbaya kama yule
Hatuwezi kuwa pamoja kwa sababu ww ni mpole Sana,Wana jamvi salaam ....
Ninauanzisha huu uzi si kwa kusudio la kutukumbusha "machungu, simanzi, maumivu" nk ambayo tuliyapata tokana na neno/maneno "makali" toka kwa wale tuliowapenda sana .....
bali ni kutumia huo UZOEFU tulopitia ili kujifunza .... we always learn from one's life experience .... and for that we become perfect ...
Ilikuwa ni tarehe 25. July. 2012 majira ya saa tano hiv asubuh nikiwa nyumbani Mwanza, alinitext sikumuelewa alichokuwa anataka nimuelewe, nikampigia nilipomuuliza akanijibu, "Unajua nini, nataka tuachane, sikupendi tena wala sina future na wewe na sipendi nikusaliti". Siku hiyo niliomba msamaha kwa kosa nisilolijua, nilipata tabu, nilikuwa juan navuta spid ya kuoga, ghafla nilipatwa joto la ajabu.
Nakumbuka siku hiyo nyumban hata sukari tu kwenye uji haikupatikana, tulikunywa uji wa bila sukari, huku bibie yupo chuo nasubir arud mwaka wa pili huo tutambulishane kwa wazazi, nikaja kusikia kumbe alipata Eng, chuo cha jiran yao, chuo cha Mandela Arusha. Niliteseka miaka miwili nikiwa nina iman ipo siku atanirudia tuwe wapenzi, kumbe alishapewa na ujauzito akazaa. Huwa siisahau hii siku, kejeli zake ingawa zilikuja kunijenga sana. Nashukuru sana mdada ex.
sijawai kuona mwanamke mbaya kama yule
Wengine wana nyota za "chips mshikaki" kupendwa na karibu kila mtu ..... sie wengine duuuu