WeweQUOTE="Laki Si Pesa, post: 33614657, member: 529390"]
huwezi pingana na itikadi, sera za chama chako, ukiwa mwana CCM, lazima ufuate maamuzi ya chama, kama hukubaliani nayo ondoka tafuta chama kingine, au anzisha chama chako, hao unaowaita bendera fuata upepo unawadhalilisha tu, hata wewe ungekuwa hivyo hivyo kama wao, mbona jamii forum mnapenda sana topic za kupinga serikali sijaona ukikemea hilo