Nimetafakari haya maneno nakuona yana ukweli! Stay blessed!
Mohamedi Mtoi, Hii ni faraja ! ... Umegusa NENO KUBWA!!!.... Cha msingi tambua kuwa upendo na heshima kwa wakubwa na wadogo ndio tunu ya utu. Usimdharau mtu maana Mungu hana dharau juu yako. Sali sana kama vile utaondoka duniani dakika sifuri ijayo.
Mwenyezi Mungu atujalie tuwe watu wema tusio chukiana kwa rangi zetu au tofauti za imani zetu na itikadi zetu.
Kila jema na lenye kheri lisiwaponyoke na mbarikiwe hadi mpigwe na butwaa.
Ni vyema kumshukuru Mungu kwa kila jambo na hatua unayofikia. Pia kukumbuka kwamba kila mwanadamu kajaliwa karama yake.
Ukifanya na kufahamu hilo, hakika mawazo yatapungua.
Siyo vibaya kuwa na wivu wa kimaendeleo, lakini wivu huo husikufanye ujione mnyonge na husiye bahati. La hasha. Bali ukufanye ufikie malengo yako kwa karama uliyojaliwa na Mungu.
Umefukunyua sio mchezo 2012
mleta mada alikuwa bonge ya kamanda!! RIP MtoiNimepata mwanga, ubarikiwe.