Neno gani la kiswahili umejifunza karibuni na hukuwahi kujua kama lipo?

The Wolf

JF-Expert Member
Sep 10, 2013
9,309
20,330
Mwaka jana nilikutana na neno Diaba, lile ndoo kubwa la kuwekea maji, sikuwahi kujua linaitwa hivyo hata hivyo sikuwahi kulitumia mpaka hiyo siku mimeenda kununua kwa ajili ya kuwekea taka
 
"Dhaifu"

""...IF PIANO IS OUT OF TUNE, THE MUSICIAN WILL FAIL, NO MATTER HOW MUCH OF A MUSICIAN HE MAY BE...""
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…