Nendeni mkaikomboe Tanganyika tarehe 9 Disemba. Mtakaotoka salama tutawapa vyeo serikalini kama zawadi

Nendeni mkaikomboe Tanganyika tarehe 9 Disemba. Mtakaotoka salama tutawapa vyeo serikalini kama zawadi

Samia atosha tukutane2030

JF-Expert Member
Joined
Apr 7, 2020
Posts
17,169
Reaction score
48,681
Yes .
Haiwezekani leo Karne ya 21, dunia inawaza kuishi angani lakini wapuuzi wachache kwa ujira mdogo wanaua Watanganyika wenzao wakidhani wanalinda amani .

Mtu ananuka madeni , kadi yake ya kupitishia mshahara iko kwa muha kisa laki 2 ya kula anapewa laki 3 from no where anaua Watanganyika wenzake.

Mimi sitaandamana, ila mtakaoandamana Mungu awabariki. Najua wengine mtarudi ganda ila mtakaorudi salama kwenye nchi yetu ya Tanganyika tutawapa vyeo kama pongezi.

Wale wa 78/79 waliokufa Uganda walikuwa malofa. Walikwenda kupigania non sense. Yaani Nyerere anakujaza upepo unakwenda kufa nchi ya watu .
 
Yes .
Haiwezekani leo Karne ya 21, dunia inawaza kuishi angani lakini wapuuzi wachache kwa ujira mdogo wanaua Watanganyika wenzao wakidhani wanalinda amani .
Mtu ananuka madeni , kadi yake ya kupitishia mshahara iko kwa muha kisa laki 2 ya kula anapewa laki 3 from no where anaua Watanganyika wenzake.
Mimi sitaandamana, ila mtakaoandamana Mungu awabariki. Najua wengine mtarudi ganda ila mtakaorudi salama kwenye nchi yetu ya Tanganyika tutawapa vyeo kama pongezi.
Wale wa 78/79 waliokufa Uganda walikuwa malofa. Walikwenda kupigania non sense. Yaani Nyerere anakujaza upepo unakwenda kufa nchi ya watu .
Umeandika nn hii ww qhuma.
 
Yes .
Haiwezekani leo Karne ya 21, dunia inawaza kuishi angani lakini wapuuzi wachache kwa ujira mdogo wanaua Watanganyika wenzao wakidhani wanalinda amani .
Mtu ananuka madeni , kadi yake ya kupitishia mshahara iko kwa muha kisa laki 2 ya kula anapewa laki 3 from no where anaua Watanganyika wenzake.
Mimi sitaandamana, ila mtakaoandamana Mungu awabariki. Najua wengine mtarudi ganda ila mtakaorudi salama kwenye nchi yetu ya Tanganyika tutawapa vyeo kama pongezi.
Wale wa 78/79 waliokufa Uganda walikuwa malofa. Walikwenda kupigania non sense. Yaani Nyerere anakujaza upepo unakwenda kufa nchi ya watu .
Naunga mkono hata vita ya Kagera Baba zetu hawakwenda wote...tunawaombea risasi zibadilike kuwa maji...sisi tautaandika historia ya ushujaa wenu.
 
Kuna watu wameanza kusaliti kambi baada tu ya kutumiwa kama maganda ya miwa.
 
Umenikumbusha riwaya ya "Zawadi ya Ushindi" Sikamona alihaidiwa na Lucia aende vita ya Kagera akirudi Zawadi hadhimu ya Ushindi
 
Yes .
Haiwezekani leo Karne ya 21, dunia inawaza kuishi angani lakini wapuuzi wachache kwa ujira mdogo wanaua Watanganyika wenzao wakidhani wanalinda amani .

Mtu ananuka madeni , kadi yake ya kupitishia mshahara iko kwa muha kisa laki 2 ya kula anapewa laki 3 from no where anaua Watanganyika wenzake.

Mimi sitaandamana, ila mtakaoandamana Mungu awabariki. Najua wengine mtarudi ganda ila mtakaorudi salama kwenye nchi yetu ya Tanganyika tutawapa vyeo kama pongezi.

Wale wa 78/79 waliokufa Uganda walikuwa malofa. Walikwenda kupigania non sense. Yaani Nyerere anakujaza upepo unakwenda kufa nchi ya watu .
Twendeni,tupate katiba mpya yenye kulinda utu na haki za raia
 
Yes .
Haiwezekani leo Karne ya 21, dunia inawaza kuishi angani lakini wapuuzi wachache kwa ujira mdogo wanaua Watanganyika wenzao wakidhani wanalinda amani .

Mtu ananuka madeni , kadi yake ya kupitishia mshahara iko kwa muha kisa laki 2 ya kula anapewa laki 3 from no where anaua Watanganyika wenzake.

Mimi sitaandamana, ila mtakaoandamana Mungu awabariki. Najua wengine mtarudi ganda ila mtakaorudi salama kwenye nchi yetu ya Tanganyika tutawapa vyeo kama pongezi.

Wale wa 78/79 waliokufa Uganda walikuwa malofa. Walikwenda kupigania non sense. Yaani Nyerere anakujaza upepo unakwenda kufa nchi ya watu .
Angalia hii afu unitofautishie kati ya Idd Amin na naniliu


View: https://m.youtube.com/shorts/I37o60xwIYE?si=tIJ8dUV13hfkSZ_h
 
Wewe unagawa vyeo kama nani na nafasi yako ni ipi huko serikalini mpaka uwe unagawa vyeo tu.
 
Back
Top Bottom