Nenda tu CCM, sitakukumbuka wala kukuchagua daima

Nenda tu CCM, sitakukumbuka wala kukuchagua daima

Mjomba ukikosa nauli yakuondoka tutakupa
 
Ni jambo ambalo watnzania wanatakiwa wafikiri sana na wafanye kila liwezekanalo waitose ccm
 
ulikuta ccm yetu iko imara,lkn ss hvi inapumulia mashine.... Nenda tu mjomba
 
Ulikuta tuna viwanda vingi, huku vingine vikiwa tishio Africa mfano General Tyres leo yamebaki magofu ya majengo huku ukosefu wa ajira ukizidi kuwa mkubwa. Kufa kufa ccm hustahili kuishi tena.

ulikuta watanzania tunashirikiana na kupendana leo mtoto wa mkuu anasubutu kutangaza rais hawezi kutoka kanda flani huku viongozi wa chama wakinyamaza kimya pasipo kukemea ubaguzi huo. Kufa kufa ccm.

Ulikuta shule za serikali zikiwa zinaongoza kwa ufaulu shule kama Ilboru, msalato hazikuacha kutoa top 10, leo imebaki kuwa historia. Kufa kufa ccm, hutanuka, nitakupa msaada wa kukuzika bure.
Kweli tulikupenda sana lakini Mola kakupenda zaidi! Buriani CCM!!
 
Leo uongozi ni wa familia za viongozi neda kaburini ewe fisadi ccm. kweli kabisa kama wewe ni mtanzania mwenye mapenzi na nchi hii bado unatoka nyumbani unaipigia kura ccm lazima ujiulize sana nini itakuwa hatima ya watoto wako na wajukuu zako. kwa nini usiwe sehemu ya historia kuwa na wewe umeshiriki katika ukombozi wa nchi hii na kuwa umemtoa fisadi aliyetunyonya kwa miaka zaidi ya hamsini? napenda kutoa wito kwa wapenda mabadiliko tuiondoe CCM hili ni zimwi lililotutesa kwa kipindi kirefu octoba 25 iwe mwisho wa hawa mafisadi
 
Ulikuta tuna viwanda vingi, huku vingine vikiwa tishio Africa mfano General Tyres leo yamebaki magofu ya majengo huku ukosefu wa ajira ukizidi kuwa mkubwa. Kufa kufa ccm hustahili kuishi tena.

ulikuta watanzania tunashirikiana na kupendana leo mtoto wa mkuu anasubutu kutangaza rais hawezi kutoka kanda flani huku viongozi wa chama wakinyamaza kimya pasipo kukemea ubaguzi huo. Kufa kufa ccm.

Ulikuta shule za serikali zikiwa zinaongoza kwa ufaulu shule kama Ilboru, msalato hazikuacha kutoa top 10, leo imebaki kuwa historia. Kufa kufa ccm, hutanuka, nitakupa msaada wa kukuzika bure.

Nenda CCM sitaki hata kukusikia jini mahajuni wewe
 
Back
Top Bottom