Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 360,023
- 828,796
Hata sijuiKaka kwani kula vegaya kisukuma??😀😀😀.
Ungekua unahusiana nayo tungeshaambiwa na tbccm.Unahusiana Na bombadia iliyokongoroka Mwanza?
Alivyokomaa alikuwa hajasikia chochoteNaona jiwe ametupiwa jiwe
Kwahy unamiaka mingap wewe babuNi jamaa mmoja alikuwa mbabe sana skuli sasa kwakuwa alitusumbua sana ndani mpk tukakosa raha tukaamua kumtafutia mapambano ya nje ili tu nacc tuwe na raha ßhuleni kwa kutokuwepo kwake lakini pia ailetee sifa shule kwa ubabe wake wa dibeti nà nguvu zake hii ilikuwa miaka ya 80 kiomboi huko
Huyu kaka mkuu anatuma viranjaMkutano wa WHO duniani unaendelea
Atakuwa wa 97 ana miaka 21 uchaguzi wa 2015 alishirikiKwahy unamiaka mingap wewe babu
Huyu mwanafunzi mkorofi shule yetu tu huko hagusi ngo'
Anajipaisha kuitwa babuAtakuwa wa 97 ana miaka 21 uchaguzi wa 2015 alishiriki
Wale walikua Wanaume Suruali, ndio maana kimya hadi leo utaanzaje kuwaambia wandugu wale Wanaume nilowatambulisha Sio RizikiMbabe anasifia wazungu wenye tai kuwa ni wanaume
Ni jamaa mmoja alikuwa mbabe sana skuli sasa kwakuwa alitusumbua sana ndani mpk tukakosa raha tukaamua kumtafutia mapambano ya nje ili tu nacc tuwe na raha ßhuleni kwa kutokuwepo kwake lakini pia ailetee sifa shule kwa ubabe wake wa dibeti nà nguvu zake hii ilikuwa miaka ya 80 kiomboi huko
Mkutano wa WHO duniani unaendelea
hahahah, harikaaaaaaaaaaaaaaaaaaKaka kwani kula vegaya kisukuma??😀😀😀.