Nenda nje kama mbabe

Nenda nje kama mbabe

Tuko pamoja chezea wewe kilichopanda ndege kuja nchini kwetu ni kigumu asikwambie mtu
 
Mkutano wa WHO duniani unaendelea
IMG_20180522_104818_207.jpg

IMG_20180522_104844_568.jpg
 
Ni jamaa mmoja alikuwa mbabe sana skuli sasa kwakuwa alitusumbua sana ndani mpk tukakosa raha tukaamua kumtafutia mapambano ya nje ili tu nacc tuwe na raha ßhuleni kwa kutokuwepo kwake lakini pia ailetee sifa shule kwa ubabe wake wa dibeti nà nguvu zake hii ilikuwa miaka ya 80 kiomboi huko
Kwahy unamiaka mingap wewe babu
 
aendi alishamtuma yule wa bondeni akatuombee hela.. bahati mbaya huyo wa bondeni nae kina malema walishasababisha akaondoka ..yuko bize kuongeza idadi ya wanawake tu sasa.. sijui huyu aliepo sasa atakuja tena kwetu nae amuombe upya??
 
Kiomboi wapi wewe..!

Sema una hofu na kiloba chenye jiwe mtoni, huyo mbabe unayesema atakuwepo mtaani.

Ni jamaa mmoja alikuwa mbabe sana skuli sasa kwakuwa alitusumbua sana ndani mpk tukakosa raha tukaamua kumtafutia mapambano ya nje ili tu nacc tuwe na raha ßhuleni kwa kutokuwepo kwake lakini pia ailetee sifa shule kwa ubabe wake wa dibeti nà nguvu zake hii ilikuwa miaka ya 80 kiomboi huko
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom