Nenda nenda Kaka Patrick Rutabanzibwa

Mar 2, 2011
86
29
Hatimaye mtumishi huyu anafikia tamarind katika utumishi wa umma baada ya kustaafu. Atakumbukwa kwa mema na mabaya pia
 
Hebu funguka, mbona umri wa kustaafu unafikaga na wanaendelea? Ameaga rasmi au ni aje? Funguka mkuu na bado listi ya wapya tunapigwa mbwembe toka saa kumi
 
Huyu Patrick Ritabanzibwa ni mmoja ktk list of shame ya Dr. Slaa pale Mwembeyanga 15 sept 2007.. Pia aliwahi teuliwa Kuwa mjumbe wa kamati ya kupitia upya mikataba yamadini iliyokuwa chini ya Judge Mark Bomani, baada ya wananchi kupinga uteuzi wake kwa madai hakuwa msafi alijiondoa ktk tume Hiyo ambayo kwa upande mmoja ndo ndg yetu Zito Kabwe alipoanza kupoteza mwelekeo wa kipinzani baada ya kukubali Kuwa mjumbe wa tume hiyo.Tume hii iliundwa baada ya mh. Zito kuibua kashifa ya Buzwagi na mikataba ya kinyonyaji ya madini.
 
huyu jamaa alikuwa hatari, aliwatihs ahata Mawazir ya baba yake JK! NADHANI kalazimishwa kujiuzulu
 
Kweli huyo Patrick Ruta bora ameomba kustaafu ila pia nina wasiwasi alijua atatemwa hivyo kajifanya kuomba kustaafu. Fisadi papa hili. Si ana kashfa ya viwanja fake huyu? Tena anatakiwa afunguliwe mashtaka ya kuhujumu rasilimali ardhi!!!
 
Bora huyu fisadi kaenda kupumzika alikuwa na weledi mkubwa sana kwenye kuiba
 
Ruta aliomba mwenyewe apumzike. Ni mchapa kazi. Kila alipoenda alisafisha. Ardhi amewanyoosha.
 
....ameishi miaka mingi uongozini hadi kucha/nywele/ndevu/meno/..etc. vimekuwa na ubutu wa sirikali...
eti yule kamanda wa polisi wa zamani aliyetaka kuingia kwenye siasa yuko wapi?
 
....ameishi miaka mingi uongozini hadi kucha/nywele/ndevu/meno/..etc. vimekuwa na ubutu wa sirikali...
eti yule kamanda wa polisi wa zamani aliyetaka kuingia kwenye siasa yuko wapi?

Mkuu,
Unamaanisha Kamishna Alfred Tibaigana?
 
Hatimaye mtumishi huyu anafikia tamarind katika utumishi wa umma baada ya kustaafu. Atakumbukwa kwa mema na mabaya pia

Aliyekuambia atakaa nyumbani nani?anakuwa mbunge wa kuteuliwa na Kuwa waziri wa mambo ya nje.President 2015 100 percent utanitafuta Natalia
 
Alikua mzandiki balaa lakini shida alitetea marafiki zake waliovunja sheria na murua wa nchi
 
Kweli huyo Patrick Ruta bora ameomba kustaafu ila pia nina wasiwasi alijua atatemwa hivyo kajifanya kuomba kustaafu. Fisadi papa hili. Si ana kashfa ya viwanja fake huyu? Tena anatakiwa afunguliwe mashtaka ya kuhujumu rasilimali ardhi!!!

Hapana alifanya tafrija ya kustaafu kwa hiari muda kidogo.
 
Aliyekuambia atakaa nyumbani nani?anakuwa mbunge wa kuteuliwa na Kuwa waziri wa mambo ya nje.President 2015 100 percent utanitafuta Natalia

Duh! Upweke wa Amerika unaweza sababisha mtu akomenti maoni ya kiwendawazimu!
 
Back
Top Bottom