chuma cha mjerumani JF-Expert Member Dec 4, 2013 11,118 22,505 Jul 10, 2019 #4 miaka ya nyuma nilikuwa karibu na Mungu, kusoma bible kuhudhuria church, ila saivi sijui nimepatwa na nini MAOMBI YAKO MTUMISHI NI MUHIMU.
miaka ya nyuma nilikuwa karibu na Mungu, kusoma bible kuhudhuria church, ila saivi sijui nimepatwa na nini MAOMBI YAKO MTUMISHI NI MUHIMU.
share JF-Expert Member Nov 22, 2008 6,062 10,461 Jul 11, 2019 #6 Najisikia kupaa niutwae utukufu ulio juu.
mjingamimi JF-Expert Member Aug 3, 2015 39,281 44,816 Jul 11, 2019 #7 Hapa ndipo mnapoharibu. Kuchanganya tambi na pilau mikocheni junction said: Thank you Jesus Click to expand...
Hapa ndipo mnapoharibu. Kuchanganya tambi na pilau mikocheni junction said: Thank you Jesus Click to expand...
Saint Anne JF-Expert Member Aug 19, 2018 73,684 225,319 Jul 11, 2019 #8 Neno lako ni taa ya miguu yangu Na ni mwangaza wa njia zangu kila siku Zab119:105
Saint Anne JF-Expert Member Aug 19, 2018 73,684 225,319 Jul 11, 2019 #9 chuma cha mjerumani said: miaka ya nyuma nilikuwa karibu na Mungu, kusoma bible kuhudhuria church, ila saivi sijui nimepatwa na nini MAOMBI YAKO MTUMISHI NI MUHIMU. Click to expand... Neema ya Mungu bado IPO.
chuma cha mjerumani said: miaka ya nyuma nilikuwa karibu na Mungu, kusoma bible kuhudhuria church, ila saivi sijui nimepatwa na nini MAOMBI YAKO MTUMISHI NI MUHIMU. Click to expand... Neema ya Mungu bado IPO.
Diason David JF-Expert Member Aug 2, 2018 7,562 7,348 Jul 22, 2019 #12 Kuna kanisa fulani limeandika hilo nano ukiingia ndani
Alvin A. JF-Expert Member Oct 14, 2016 2,868 3,624 Jul 22, 2019 #13 Zaburi 121 huwa naipenda sana hasa anaposema "Asiuache mguu wako usogezwe, ASISINZIA AKULINDAYE......"
Zaburi 121 huwa naipenda sana hasa anaposema "Asiuache mguu wako usogezwe, ASISINZIA AKULINDAYE......"